Hii kweli kali, so upande wa pili ni mademu(kabila) gani wanafaa kuolewa??
Wasukuma, Wamasai, Wanyamwezi.
Bado tunatesa...criminality cannot be generalized only fools can do that....Like father like son...Sailing in the same boat, assuring each other,,,huh!
Hata mwizi akikamatwa na vidhibiti ukimuuliza umeiba atasema sijaiba.mhh si kweli .
Nakubaliana na wewe generalisation sio proper. Lakini sasa, wewe huwezi kutoa judgement nzuri kwa sababu mama na mke ni wachaga. Maana kama umekulia ndani ya mfumo na unaishi humo huwezi kuona nje ya BOX.Hiyo ni generalization sana...siyo kweli ...my wife ni mchaga, my mother ni mchagga sijaona tatizo for years acheni blablah...tabia mbaya ni mtu wala si kabila...umbea mtupu
Ngoja niwaache nisome kutoka kwa wengine...you are right I might be biased!Nakubaliana na wewe generalisation sio proper. Lakini sasa, wewe huwezi kutoa judgement nzuri kwa sababu mama na mke ni wachaga. Maana kama umekulia ndani ya mfumo na unaishi humo huwezi kuona nje ya BOX.
Wasukuma, Wamasai, Wanyamwezi.
Yanayosemwa kwa mabinti wa kichaga mimi nimeyashuhudia,Kuna binti wa kichaga niliamua kumuachia mwanaume baada ya kujilengesha mimba ya aliyekuwa jamaa yangu. Nikaona hata jamaa mwenyewe **** vilevile nikawaacha waangaike wenyewe, jamaa nasikia mambo mzobe mzobe toka kwa huyo binti.. yaani anampelekesha hakuna mfano.
Wasukuma, Wamasai, Wanyamwezi.
Nimeomba samahani kwa wale watakaokwazika na kuumizwa na habari hii. kuna jamaa rafiki yangu sana anamchumba wake ni mchaga tabia zake zinaendana sana na binti mmoja ambaye ni rafiki yangu. sasa hawa mabinti wanaendana kitabia na kunifanya niamini maneno niliyowahi ambiwa kuwa mabinti wa kichaga sio wa kuoa. kwani hawa watu ni kindless, loveless, wiseless, worryless and selfish kupita kiasi. na wanatumia mapenzi kama fimbo. sasa haya nimeyaona na nimeamini kuwa hawa watu hawafai. sasa nikaona niulize wengine mambo yakoje mnayaonaje na kwa wale waliooa wachaga ndoa zikoje?
Mjadala huu unaniacha hoi.Hivi ukimtokea mtu kwa hiari yako halafu mambo yakawa ndivyo sivyo ni lazima utangaze janga la kitaifa?
Kama hao mabinti ni mabomu kiasi hicho..mbona bado mnawasarandia kama vile wanawake wengine hawapo? Tukiangalia kwa harakaharaka na kuhesabu waliokimbilia kuoa wachagga wakaacha makabila yao inachekesha sana na hakuna hata haja ya kutoa majina maana wengi "wenye majina" waliooa wachagga wanajulikana.