Do u really love tht woman?love is not a feeling,its a choice...bcz feelings can rise and fall,eg mkeo akikutendea mema,kama kupika chakula kitamu,kukukaribisha nyumbani kwa tabasamu pana,kukuombea,kukuheshimu,kukulinda hapo lazima utampenda,bt smtms mambo yanaweza yasiwe hivyo due to stress,hormonal changes nk,vikamfanya akawa na kiburi na asifanye unavyotaka....je utamuacha?Your not perfect,she is not perfect,nobody is perfect the only thing give us strength to survive is the heart of forgiveness.(mimi nilimuomba sana Mungu anipe mume mwenye moyo wa kusamehe###sisemi kwamba nitafanya makusudi kumkosea manake najua atanisamehe...la hasha##bali najua mimi ni binadamu nae ni binadamu sometimes we fall short bt does nt mean that we are evil...we need his grace to survive.God's Grace.