tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Hakuna cha kusema sikutaka kusikiliza i simply call and hanged, nilishamuonya mara nyingi reaction yake ni usiwe na wasi wasi bwana...this is it..calling it an end of the road..
oky!!!!!!
Hakuna cha kusema sikutaka kusikiliza i simply call and hanged, nilishamuonya mara nyingi reaction yake ni usiwe na wasi wasi bwana...this is it..calling it an end of the road..
stori za hivi wana MMU huwa wanazipendaaaa....
kiburi kibaya sanapole sana mkuu kwa masahiba hayo
ila punguza hasira kwani
hasira ni hasara hata kaka
Peter Msechu aliimba wimbo huu bestito
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...
Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....
Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...
I have just called her to tell her this....
Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
nimevumilia sana mkuu wangu, nimetumia sana busara lakini hazikusaidiaPole, ila think twice maana shetani hapendi ndoa pia mshirikishe sana Mungu
upo sahihi mkuuNi bora saa hii kuliko huko baadae, Tabia Haina Dawa,
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...
Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....
Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...
I have just called her to tell her this....
Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
hahaha jirani.........
Kuna watu wanafiki humu...
Angekuja na thread ya kulalamika tabia ya mchumba wake, wengi wangeandika "chapa lapaaaa".
Lakini jamaa kaja na sredi akiwa tayari kaamua, wanaanza kuuliza nini kimetokea mara ilikuaje?
nyie wabaya sana
ukimuua nyani usimuangalie usoni
stori za hivi wana MMU huwa wanazipendaaaa....