I am calling off the wedding!!!

I am calling off the wedding!!!

Achana nae wanawake wakibongo wote mamaao mmoja uswahili mwingi akigundua unampenda basi ashakufanya -----. Bora tukaoe southern sudani nackia madem wametulia
 
sisi ndio wahusika wakuu, sihitaji watu wa pembeni, tabia kama hii hairekebishiki mkuu, ni mbaya...hat akionywa huwa mtu mwenye kiburi lazima ataleta tu kiburi tu huko mbele ya safari bora nifunge mahesabu mapema
umechukua maamuzi sahihi kuamua kuacha kujifunga.
watu wengi huwa wanajiingiza kwenye ndoa wakidhani kuwa wenzi wao watabadilika, wanaishia kujuta maisha yao yote.
Maisha ya ndoa yanahitaji yafurahiwe. haina haja ya kuingia ndoani kama mwenzio anakukwaza kila mara.
nadhani baadae atakushukuru sana kwa haya maamuzi yako, kama kiburi chake ni sababu hakupendi. atapata mwingine ambaye hatakuwa anamwekea kiburi, maana nahisi kiburi siyo tabia yake bali kaianza baada ya wewe kutangaza nia (kama nimekusoma vizuri unasema ameanza kiburi baada ya kutangaza ndoa). angekuwa na tabia ya kiburi tangu mwanzo hata hiyo nia usingetangaza.
Nakutakia kila la heri katika kutafuta upya. Mwombe sana Mungu wako atakupa yule aliyekuandalia, anayefafana nawe.
 
A succesfull marrage is not all about perfection## its about the heart of forgiveness and grace....
 
kiburi tu una call off wedding?

Au bibie alikuwa hataki ndoa wewe ndo ulikuwa una push?

Style up mwanamke kwa mwanaume kama boflo kwa chai
ulishindwa kabisaa kumweka under control, for Gods sake?!


hujui kiburi asilia.....
 
sijui watoto wenu watakuja kumwagana wapi manake wazazi mmetongozana fb mkamwagan jf watoto itakuwaje??
 
sijui nimezima simu baada ya kumpigia, nilimwambia tu it is off, bye...

Kama wazazi walishahusishwa litasuluhishwa tu.
Penye wengi hapaharibiki neno
Pole though,maana maamuzi uliyochukua!!! Mh!
 
rafikimkweli mimi nilipotangaza nia kwa mke wangu aisee kibri yake ilienda juu kimtindo.

Nilikuwa nammind sana tu maana alinipanda kichwani. Ila nikagundua ni stress tu alikuwa nazo.

Anyways baada ya ndoa kibri mfukoni. Yuko so lovely.

Kaza buti ndugu. Embu kapime na mkojo kwanza!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana lkn usichukue maamuzi ya hasira kwani huwa na gharama kubwa. Jikusanye kwanza ondoa stress/hasira uwe normal then fikiria tena huo uamuzi uliochukua/ unaotaka kuuchukua je ndio last resort au kuna namna nyingine ya kuisave hiyo relationship??? I believe utapata suluhisho ukitulia. Kumbuka kulog in kwenye relationship ni rahisi lkn kulog out huwa kuna swali kabla ya action ie are you sure you want to logout from this page then kuna button ya yes na cancel mbele yake . So think twice.
 
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...

Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....

Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...

I have just called her to tell her this....


Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.

Rafiki nkweli isijekuwa umetesti ukakuta ladha ya tofauti sasa unaleta visingizio kibao
 

duuuh pole sana
ila shukuru mungu kaonyesha
kibri kabla ya ndoa,ungejutaje?maana wengi
huficha makucha yao!!
 
Pole kaka.Ilo kabila mmmmh..kila siku wao tu.Jirekebisheni na viburi vyenu na kupenda pesa kuliko kuthamini utu.
 
Safi we mwanaume kwa kuwa mwanaume wa mwezi ni mushi wewe tunakupa mwezi ujao. Na michango usirudshe kama ulikusanya. Fanyia buznes. Utatubu taratibu na watakusamehe tu.
 
hujui kiburi asilia.....
mkuu nilivumilia sana mkuu, the problem is that i am a very reserved person na yeye anaongea sana, so mara nyingi nakaa kimya kumsikiliza tu akiongea kama cherehani..jana ilizidi kipimo cha uvumilivu nikasema hapana, huyu ama atanizeesha mapema au kuniua kwa mawazo bure
 
Achana nae wanawake wakibongo wote mamaao mmoja uswahili mwingi akigundua unampenda basi ashakufanya -----. Bora tukaoe southern sudani nackia madem wametulia
kumuonesha upendo kidogo mkuu ni sawa na kuharibu hata ule kidogo uliokuwepo sijui tatizo ninini?? hawa viumbe wanashangaza sana
 
We mwanaume we!!

Acha utoto

We unaona ndoa kitu cha mchezo eee

Msamehe bure na jaribu kumzoea kama alivyo


Kitu kidogo et ur calling off the wedding!!


Huoni aibu????
 
sisi ndio wahusika wakuu, sihitaji watu wa pembeni, tabia kama hii hairekebishiki mkuu, ni mbaya...hat akionywa huwa mtu mwenye kiburi lazima ataleta tu kiburi tu huko mbele ya safari bora nifunge mahesabu mapema

Nenda mwanakwetu nenda usigeuke nyuma utakuwa jiwe better die as hero than living as a coward !Shujaa haulizwi sababu.
 
Back
Top Bottom