Pole mkuu....ongea na watu wa karibu pia kama wanawezasaidia...ikishindikana go ahead
mara nyingi tu hazihesabiki,
sijui nimezima simu baada ya kumpigia, nilimwambia tu it is off, bye...
mkuu sijachukua hata buku la mtu kaka...sina mpango huo mkuu, mimi nilipanga nialike watu kulingana na uwezo wangu tu mkuu, naavoid maswali kama haya ndio maana sikuchangishaduh! Hongera kwa uamuzi... Vipi michango mlishakusanya?
ukimuua nyani usimuangalie usoniu need to face her na siyo kwenye simu jamani hii ipo serious kidogo mkuu aisee ukisikia amejiua utafanyaje?
asante ni ngumu ila nitazoeasawa.....kila la kheri katika safari mpya unayoianza.......
nyie wabaya sanayani ameshafanya maamuzi ametushirikisha tu ili aridhike mkaka wa watu jamani anaonekana kachoka sana
tugange yetu........!!ila jamaa ana roho ya kishujaa mzee anaahirisha jamaa noumah sana
kiburi kibaya mkuu unaweza vunja mtu kiunokiburi tu una call off wedding?
Au bibie alikuwa hataki ndoa wewe ndo ulikuwa una push?
Style up mwanamke kwa mwanaume kama boflo kwa chai
ulishindwa kabisaa kumweka under control, for Gods sake?!
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...
Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....
Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...
I have just called her to tell her this....
Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
mkuu wewe unapenda kiburiNi woga wa ndoa tu, acha nginjanginja