I am calling off the wedding!!!

I am calling off the wedding!!!

UPDATES:

Nimeitwa kwenye kikao kusuluhisha what should i do now, i really don't want to go back to those kind of nasty treatments
mkuu hujui tena cha kufanya?:smile-big:..si ndio wewe ulisema linawahusu ninyi na huitaji watu wa pembeni?kawaeleze huo msimamo wako kama kweli una guts hizo...ila nadhani itakuwa hivi baada ya kikao :busu...kila la kheri rafikimkweli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom