orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,676
- 4,246
Huyo mjeda angemkata kibao naona ana wengeAu alilewa maana hata uvaaji wake hauko sawa
Huyo mjeda angemkata kibao naona ana wengeAu alilewa maana hata uvaaji wake hauko sawa
Sifa moja wapo ya mlinzi wa raisi ni kuwa na mwili mkubwa pia ukakamavu ukiangalia kwa makini hawa walinzi wa sasa wa mama ni kama vile ni hawana miili ya mazoezi, wale waliokuwa wanamlinda Mzee Magufuli walitoka wapi mbona walikuwa wanaonekana wapo fit tofouti na hawa wa sasa.Huyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.
Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Huyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.
Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Tukio litachunguzwa na hatua zitachukuliwaHata huyo mwanausalama hajamuelewa kageuka kumtizama sana
Dah vitu vyenye ncha kali /butu vinavyoruka hewani kwa kasi ya ajabu na ya hatarii. Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa.Ingekuwa enzi za nduli Fashisti angepigwa shaba hapohapo
Kamgusa mtu asiyejulikana mgongoni, angemiminiwa njugu sijui angemlilia nani.....Angepita kwa raia huko mbele
AchunguzweKiongozi hata hiyo salute yenyewe umeiona inavyopigwa aisee, salute inapigwa huku mtu anatembea baada ya kubana matako arif.
Huyu mwamba ametisha aisee...!
Sio kwa makusudi mkuu, huyu trafic kapata wenge baada ya mwanausalama kumuambia asipite pale amepagawa anapiga hatua kubwa afike anapostahili kumbe ndiyo anazidi kuharibu kwa kumpamia mwanausalama mwingine ambaye alikua hata hajamuona 🤣Huyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.
Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Nimekutisha mkuu,hivi unaona ni sahihi huyo bwana kutanga tanga na kuwagusa hovyo hao wanaume wanaomlinda Rais
Tazama vyema Mkuu utakubaliana na mimi. Ni kusudi kabisaSio kwa makusudi mkuu, huyu trafic kapata wenge baada ya mwanausalama kumuambia asipite pale amepagawa anapiga hatua kubwa afike anapostahili kumbe ndiyo anazidi kuharibu kwa kumpamia mwanausalama mwingine ambaye alikua hata hajamuona 🤣
Siyo hali ya kawaida, kuna kitu zaidi tunavyoona katika clip.Kuuliza si ujinga, wengine utaalamu wetu ni kwenye kuhesabu pesa counter, Je kitendo cha huyo Traffic kumkaribia Rais namna hiyo sio Security Breach?
Ukiangalia kwa umakini alikaribia mno tena kupita nyuma ya hao Walinzi wenye silaha nje nje, kwa akili zangu za kawaida naona hatari maana kama mtu mbaya na mwenye mafunzo anapita karibu hivyo anaweza kuwapokonya hao akafanya fujo
Lakini pia baada ya kuambiwa huku usipite pita huko akamgusa huyu afisa mmoja kiunoni kwa nyuma kiasi anaweza kugusa silaha iliyofichwa mfukoni.
Na kuonesha kuwa halikuwa jambo la kawaida, amevuta attention ya karibu wana usalama wanne mpaka watano mpaka waliokuwa karibu kabisa na Rais, kiasi wamegeuka na kumtizama kwa sekunde kadhaa wakati anaondoka, hata huyo Kamanda aliyepigiwa saluti hajamuelewa kabisa huyo askari kamuangalia kwa mashaka.
Hiyo haiwezi kuitwa Security Breach au ni kawaida tu
View attachment 1846143[/SIZE]
Ndio uelewe marisasi yangemuhusu kama ingekuwa ni hayati Sanamu bado yuko kwenye kiti, tena huenda hayati mwenyewe ndio angemtwanga risasi maana alikiwa anatembea na mapistolSio sahihi kabisa, sijamuelewa kabisa