Huyu ni nani?

Huyu jamaa CV yake mbona ni kubwa lakini hajawahi kuandikwa magazetini? au kuwekwa kwenye any website for any reasons?

Labda kama spelling imekosewa, lakini kwa sifa mlizozitaja kuanzia kumiliki vituo mpaka kununua timu, lazima alitakiwa apatikane kwenye internet. Ukitumia google search unalipata JF forum tu, kwenye hii thread ya MKJJ!

If so, then sijajua hiyo report ina nini, ila kutopatikana kwenye media kwa mtu 'prominent' kama yeye is real alarming! Tabia za kutopigwa picha hovyo na kuficha ficha habari zako ni tabia za kigaidi.

Umekosea spelling mkuu andika Balhabou utapata habari zake nyingi kwenye google
 
huyu Jamaa alitoa Gari tatu aina ya Land Rover pale Uwanja wa Jamuhuri pamoja na mafuta ya kampeni ya CCM mkoa wa Morogoro baada ya JK kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni ndani ya uwanja wa Jamuhuri mwaka 2005 mwezi October, kisha akatoa Offer ya mafuta kwa gari hizo tatu kwa msimu wote kwa kampeni hizo nnchi nzima. kifupi ni mfadhili wa CCM.....NAENDELEA KUMKUMBUKA HUYU JAMAA.

Nashukusuru sana Papa sam kwa kuiweka vizuri, maana nilisema jamaa anafadhili chama!!!

The Axis of Evil is too deep in our country... Its just unfortunate that bad things seem to have afinity with good people and Tanzanians are good people so we attracts lots of evil deeds

We need a bad guy up there to wheep some a$$es
 
Nashukusuru sana Papa sam kwa kuiweka vizuri, maana nilisema jamaa anafadhili chama!!!

The Axis of Evil is too deep in our country... Its just unfortunate that bad things seem to have afinity with good people and Tanzanians are good people so we attracts lots of evil deeds

We need a bad guy up there to wheep some a$$es
Binafsi nimeshangazwa na kusisimuliwa na melezo ya Papa Saam kuwa jamaa anafadhili chama, ndo maana kuushinda ufisadi ni lazima kuondoa utawala wote wa chama cha CCM.......IMEKUA NGUMU KUWANG'OA na ndio maana vita yetu dhidi y a ufisadi imekua ni sawa na kujilisha upepo. wanahubiri wasiyo ya tenda, wanawaogopa na kuwahofu mafisadi, maana ni sehemu ya wafadhili wa hali na mali wa watawala wetu.
 
Acheni kututisha na konspirasi theorizi zenu. Tanzania ni nchi ya amani na utulivu. Inafuata utawala wa kisheria. Ina utawala bora. Pia ina uongozi uliochaguliwa katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Vyombo vya dola vinafanya kazi yake. Na watuhumiwa wote wanapelekwa mahakamani. Sheria inafuata mkondo wake.
 
Acheni kututisha na konspirasi theorizi zenu. Tanzania ni nchi ya amani na utulivu. Inafuata utawala wa kisheria. Ina utawala bora. Pia ina uongozi uliochaguliwa katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Vyombo vya dola vinafanya kazi yake. Na watuhumiwa wote wanapelekwa mahakamani. Sheria inafuata mkondo wake.

Binadamu akishafadhiliwa anakuwa mtumwa wa mfadhili wake na anashindwa kufikiri independently!!
 
Kwa mujibu wa ile kesi ya Kuiibia benki, jamaa alishirikiana na wafanyakazi kuiba pesa kwa njia ya mtandao (online fraud) siyo hard cash! Hapa ndipo usumbufu wa kuhukumu kesi ulipokuwa, kwa sababu Tanzania bado hatuna sheria madhubuti za wizi kwa njia ya mtandao.
Kwa wale mnaopenda kusikiliza nyimbo za Mr. Nice na Ben Kinyaiya, wamemuimba sana mtu huyu (Mzee wa TIOT). Hawa nao, pamoja na wanamuziki wengine wengi tu, huyu ni mfadhili wao, siyo sisiemu tu!
 
Kwa wale mnaopenda kusikiliza nyimbo za Mr. Nice na Ben Kinyaiya, wamemuimba sana mtu huyu (Mzee wa TIOT). Hawa nao, pamoja na wanamuziki wengine wengi tu, huyu ni mfadhili wao

lakini kuna mdau ametoa madai ya kushangaza , sasa hawa kina Ben KINYAIYA KUMUIMBA ISIWE.......
MTM
Ndio huyo, pia anahusishwa na kuwatembelea wanaume (tena maarufu hapa mjini) kinyume na maumbile... kasaidia "chama chetu" pia
SASA MTAZAME BEN anamwimba mtu mwenye sifa hiyo juu kama MTM ALIVYOTUELEZA, KUNA USALAMA HAPO.
 
Pia ni mmiliki wa chain ya Supper Markets kwenye vituo vyote vya TIOT.

Inasemekana familia yao inamiliki visima vya mafuta Arabuni, meli za kuyasafirisha mafuta hayo ni zao, clearing agents ni kampuni yao. Surface transport ni malori yao, na huko DRC, ana miliki petrol stations kadhaa.
mbona kila mtz mwenye asili ya kiarabu akiwa na hela watu wanasema anamiliki visima vya mafuta.
pasco naomba kuuliza ni visima vya mafuta( ukiwa unamaanisha storage ya kuwekea mafuta kama vile visima vya maji) au ni visima vya mafuta (ukiwa unamaanisha sehemu ambapo mafuta yanatoka ardhini kama vile chechem ya maji).
Pasco Je kumiliki kisima cha mafuta ni rahisi sana arabuni?

kuhusiana na meli naona mauza uza anadhani ni kama zile tanker kubwa zinazotoka saudia kwenda marekani. meli zinatofautiana size
 
mbona kila mtz mwenye asili ya kiarabu akiwa na hela watu wanasema anamiliki visima vya mafuta.
pasco naomba kuuliza ni visima vya mafuta( ukiwa unamaanisha storage ya kuwekea mafuta kama vile visima vya maji) au ni visima vya mafuta (ukiwa unamaanisha sehemu ambapo mafuta yanatoka ardhini kama vile chechem ya maji).
Pasco Je kumiliki kisima cha mafuta ni rahisi sana arabuni?

kuhusiana na meli naona mauza uza anadhani ni kama zile tanker kubwa zinazotoka saudia kwenda marekani. meli zinatofautiana size
Mafuta ndio the one and only gold ya Arabuni. Wengi wa Matajiri wa Arabuni ni nasaba na Waarabu matajiri wetu, hivyo hao wamiliki kwa undugu, wanapata mafuta kwa bei chee, huku wanayaandika on transit hawayalpii kodi, on route Dat to Moro wanayaoff load njiani, clearing agent anapeleka papers to border posts for stamping, wanayauza na kumake supper profit and become self made milionaires over night, why can't you pay tribute kwenye system inayoruhusu mteremko huu?.

Sio tio wenyewe wenye visima, hata Oilcom na Engen, wanavisima, wanamili tankers na wanaleta tenker nzima ya mafuta yao tuu. Hawa ni watu binafsi, mwingine mwenye visima vyake, tenker yake na anayeingiza tenker nzima peke yake ni BP.

Arabuni issue sio kumiliki visima vya mafuta, issue ni kumiliki hicho kipande cha ardhi ambacho chini kuna mafuta, wenzetu, Aridhi yote ni mali ya waarabu, hata hao wazungu, wanamiliki only the investiment sio ardhi.

Sisi hapa tumewapa ardhi na kila kilichomo bure kabisa ndio maana kina Balhabou wanakimbilia huku kwenye miteremko.
 
Mkuu, Unaweza kuongeza pia jina la Albert Marwa katika huu mtiririko..wa Mboma, Mafuta, Majeshi nchi za jirani...
.

Ni Hubert, but this guy is young, bright and briliant, but licha ya kuwa ni one of few young self made millioneirs, he is very humble na down to earth. Anamiliki redio station na sijawahi kusikia hata akitajwa kwenye redio yake. Wapambe wake ndio wanaishi top life na maferari, vogue na hammer zao.
 
.

Ni hubert, but this guy is young, bright and briliant, but licha ya kuwa ni one of few young self made millioneirs, he is very humble na down to earth. Anamiliki redio station na sijawahi kusikia hata akitajwa kwenye redio yake. Wapambe wake ndio wanaishi top life na maferari, vogue na hammer zao.

pasco//
huyu jamaa ndio
alikuwa anamiliki
ile dry cleaner store
ya pale morroco????????
 
Yah!! .......Lakini serikari haijui wafanya biashara wengi ni wezi....mmmh?
 
Tuko katika kufanyia kazi ripoti moja muhimu sana; jina moja limeongezewa:

Merei Balhaboo

Je mwamjua huyu jamaa pale Morogoro?
Jina hilo pia nimelisikia dodoma nafikiri ni wanafamilia wa Gairo,jamaa wa dom nasikia anadhalilisha mabinti,na baadhi ya wanaojiita mastar wa bongo nasikia amewafanyia kitu mbaya,makusudi alafu wanamuhisi kaumia sijui kama ndio huyo kwani jina ni hilo.

Na nina stori ambayoaijathibitiswa ailimtaka star mmoja wa tv na akaaidi atampa gari,binti baada ya kuliwa akapewa gari,lkn akujua documents za gari akupewa,jamaa akatangaza police gari limepotea na police wakalishika kwa dada,jamaa akadai ataki kitu chochote ila gari lake tu.
 
Jina hilo pia nimelisikia dodoma nafikiri ni wanafamilia wa Gairo,jamaa wa dom nasikia anadhalilisha mabinti,na baadhi ya wanaojiita mastar wa bongo nasikia amewafanyia kitu mbaya,makusudi alafu wanamuhisi kaumia sijui kama ndio huyo kwani jina ni hilo.

Na nina stori ambayoaijathibitiswa ailimtaka star mmoja wa tv na akaaidi atampa gari,binti baada ya kuliwa akapewa gari,lkn akujua documents za gari akupewa,jamaa akatangaza police gari limepotea na police wakalishika kwa dada,jamaa akadai ataki kitu chochote ila gari lake tu.

Gairo kuna familia tajiri ya shabib, usije ukawachanganya
 
Halafu tukisema watu wa TISS mmejazana hapa mnabisha.. gademu!
Haahaa, Mwanakijiji umenifurahisha! Kama vile Yohane mbatizaji ambavyo hakustahili kulegeza gidamu ya viatu vya masihi anayekuja, ndivyo tulivyo wengi humu.Haya tunayasikia sikia tu kama habari zisizo rasmi.
Huwezi amini haya mambo yanajulikana maana yanaenda ndivyo sivyo. Mimi sasa nawashangaa wenye kazi yao kwanini hawaoni. Atleast I know am not one of them!
 
Acheni kututisha na konspirasi theorizi zenu. Tanzania ni nchi ya amani na utulivu. Inafuata utawala wa kisheria. Ina utawala bora. Pia ina uongozi uliochaguliwa katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Vyombo vya dola vinafanya kazi yake. Na watuhumiwa wote wanapelekwa mahakamani. Sheria inafuata mkondo wake.
Na uchumi unakua kwa kasi ya kutisha pamoja na kufa kwa azimio la arusha
 
Back
Top Bottom