Bennie 369
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 713
- 534
mi hata simjui...
Hakika huo ugonjwa ulionao ni mzito.Hamkupiga kura independently kuuchagua kwa ushindi wa Tsunami utawala huu mnaodai ulishafadhiliwa?
Ndio huyo, pia anahusishwa na kuwatembelea wanaume (tena maarufu hapa mjini) kinyume na maumbile... kasaidia "chama chetu" pia
