Huyu ni msanii wa kiume..

Ukimuuliza wapi kumeandikwa hizo taratibu anakimbilia kusema mababu zetu zamani walikuwa hawafanyi hivi...
Ni vituko tu mkuu.

Leo huyu ataonekana wa ajabu, ila miaka ijayo itakua kawaida kama ilivyokua wanawake kuvaa nguo fupi, suruali nk
Leo hii wanawake wanavaa suruali ila ni kama hawajavaa kitu, mambo yote mpaka kipapiro vinaonekana ila hilo aaah liko sawa kwa sasa.
 
Kwa mfano hiyo picha ya platform. Utamfunga kwa lipi? Au kakosea kipi?
1. Kuweka maua kichwani?
2. Kushikilia ua
3. Kuvaa hereni
4. Kutumia filter
Wanaogopa kitu hata wasichokijua, ila anaogopa.

Labda anaogopa jamaa akiendelea kujipost hivyo na yeye atashawishika.
 
Hizo comments sasa, nimecheka had Co poaa, Lol
😂😂😂😂😂
 
Maana yake kwa sasa fikra zako zinaona sio sawa. Kwanini zinaona hivyo? Kipi kinaiamuru akili yako kuona kuvaa gauni au sketi kwako sio sawa?
Sasa fikra huwa hazifanani ndo maana wapo wanaofanya hivyo halafu fresh tu, wanao-judge ndo wanafikra mbovu. Ni sawa na mtu anasema anakula aina fulani ya chakula mfano mbwa halafu wewe uanze kujudge kwanini. Mkuu jibu ni maamuzi tu ya mtu haufungwi
 
Hawa wamefungwa kifikra mabadiliko ya jamii wanayaogopa

Hahahah anaogopa naye atashawishika.
Kufuata au kutofuata jambo fulani ni maamuzi ya kichwa chako tu
Wanaogopa kitu hata wasichokijua, ila anaogopa.

Labda anaogopa jamaa akiendelea kujipost hivyo na yeye atashawishika.
 
Hawa wamefungwa kifikra mabadiliko ya jamii wanayaogopa

Hahahah anaogopa naye atashawishika.
Kufuata au kutofuata jambo fulani ni maamuzi ya kichwa chako tu
Mambo ya hovyo ni mengi huko mtandaoni. Ila ndio hivyo wanaamua kuchagua hayo wanayoogopa kua yatawafika wao.
 
Tushapiga kelele sana kuhusu hilo
We si unaona huko usafini ndy kiwanda

Ova
 
Tusilaumu serikali kwa kila jambo na kila mtu achunge matako yake mwenyewe, kama unataka kukeregwa haituhusu tuna mambo mengine mengi ya msingi na muda hautoshi
 

Shoga huyu yaani msenge. Sio msanii
 
Kiwanda cha mziki&movie kimejaa 🌈 tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…