Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,904
- 9,917
- Thread starter
- #41
Utajitahidi taratibu utaweza. Hata shanga za kiunoni mwanzo zilikupa shida ila si unaona ulizizoeaHizo siwezi kuzitembelea sasa, lete viatu vya chini tu
Utajitahidi taratibu utaweza. Hata shanga za kiunoni mwanzo zilikupa shida ila si unaona ulizizoeaHizo siwezi kuzitembelea sasa, lete viatu vya chini tu
SawaUtajitahidi taratibu utaweza. Hata shanga za kiunoni mwanzo zilikupa shida ila si unaona ulizizoea
uko sahihi mkuuMaadili yenu wabongo yameandikwa wapi??
Ni wapi huyo platform anaweza kushtakiwa kwa kuvunja maadili, kakosea kip??
Mnaweza kua mnapigania kitu ambacho hakipo.
Acheni vijana watafte pesa, Kila mtu ana mbinu yake ya utaftajiHakika zama zimebadilika sana.
Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu kutokana na wasanii wetu kujianika na mionekano kama hii.
Najua sio huyu tu, hata wewe huenda umewahi kukutana na picha za wasanii wengi tu wakiwa na mionekano ya kike. So sad..
View attachment 3360347
Tuliwahi kuishi tukiamini wasanii ni vioo vya jamii kutokana na nguvu waliokuwa nayo katika kuonya, kukosoa na hata kuhimiza maadili yaliyo mazuri.
Hatukatai mziki ni biashara lakini kwa mwenendo uliopo sasa, wasanii ndio wanakuwa kichocheo cha kuibomoa kabisa jamii sababu haohao huimba vitu vya kuchochea ngono, matumizi ya dawa za kulevya, matusi, pombe na mengine mengi kubwa zaidi ni Ushoga na Usagaji.
Wasanii wa sasa huenda mbali zaidi kwa kuihadaa jamii kwa mtindo feki wa maisha wanaouishi. Inawezekana ikaonekana ni kawaida kwa mtu ambaye amepevuka kiakili kung'amua mambo na kutambua huu sio uhalisia, ila wapo ambao bado akili zao hazijawa na nguvu ya kupembua mambo au mengi hawajayatambua kuhusu wasanii ndio huwa rahisi kuhadaika. Mfano wanafunzi (jinsia zote) huweza hata kuamua kusitisha masomo wakiamini muziki unalipa sana kwa kuwa kaona msanii fulani anaishi maisha ya juu sana mtandaoni au anaonekana kumiliki pesa ndefu kwa maisha yake ilhali kiuhalisia kabisa kuna watu wana majina ila uchumi mbovu kabisa. Simaanishi hakuna wenye maisha halisia, wapo lakini asilimia kubwa wanapretend.
Kuna baadhi ya wasanii katika mahojiano yao wamewahi kukiri wazi kuwa hawatamani watoto wao waje kuwa wanamuziki. Hii inadhihirisha wazi kuwa, kama mzazi hafurahii mwanae kuyaishi mambo yaliyopo kwenye game ambayo yeye yumo. Wadada hufanyiwa vitendo vibaya kwa ahadi za kusaidiwa, wavulana pia hutendwa vivyo hivyo kwa ahadi za kutolewa.
Ni hayo tu.
Jobless_Billionaire akiambiwa hivyo anakimbilia kudhani unasapoti upunga!! Ndio maana wanasiasa wanawatumia, viongozi wa dini wanawatumia, wasanii wanawatumia.U
uko sahihi mkuu
Anatafta pesa shida Iko wapi????? au ulitaka awe kibaka achomwe motoUtakuta anatoa na huduma nyingine huyu jamaa
Mzigo wako unakuja na meliJobless_Billionaire akiambiwa hivyo anakimbilia kudhani unasapoti upunga!! Ndio maana wanasiasa wanawatumia, viongozi wa dini wanawatumia, wasanii wanawatumia.
Hawajielewi wanatumia hisia na sio akili.
Mpaka hapo ushaelewa, nina imani utafundisha na wenzio.Mzigo wako unakuja na meli
Sawa, nawewe naamini mtaanza kuvaa vijora na wanaoMpaka hapo ushaelewa, nina imani utafundisha na wenzio.
Sheria na taratibu za nchi yao zinasemaje juu ya jambo hili?Hakika zama zimebadilika sana.
Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu kutokana na wasanii wetu kujianika na mionekano kama hii.
Najua sio huyu tu, hata wewe huenda umewahi kukutana na picha za wasanii wengi tu wakiwa na mionekano ya kike. So sad..
View attachment 3360347
Tuliwahi kuishi tukiamini wasanii ni vioo vya jamii kutokana na nguvu waliokuwa nayo katika kuonya, kukosoa na hata kuhimiza maadili yaliyo mazuri.
Hatukatai mziki ni biashara lakini kwa mwenendo uliopo sasa, wasanii ndio wanakuwa kichocheo cha kuibomoa kabisa jamii sababu haohao huimba vitu vya kuchochea ngono, matumizi ya dawa za kulevya, matusi, pombe na mengine mengi kubwa zaidi ni Ushoga na Usagaji.
Wasanii wa sasa huenda mbali zaidi kwa kuihadaa jamii kwa mtindo feki wa maisha wanaouishi. Inawezekana ikaonekana ni kawaida kwa mtu ambaye amepevuka kiakili kung'amua mambo na kutambua huu sio uhalisia, ila wapo ambao bado akili zao hazijawa na nguvu ya kupembua mambo au mengi hawajayatambua kuhusu wasanii ndio huwa rahisi kuhadaika. Mfano wanafunzi (jinsia zote) huweza hata kuamua kusitisha masomo wakiamini muziki unalipa sana kwa kuwa kaona msanii fulani anaishi maisha ya juu sana mtandaoni au anaonekana kumiliki pesa ndefu kwa maisha yake ilhali kiuhalisia kabisa kuna watu wana majina ila uchumi mbovu kabisa. Simaanishi hakuna wenye maisha halisia, wapo lakini asilimia kubwa wanapretend.
Kuna baadhi ya wasanii katika mahojiano yao wamewahi kukiri wazi kuwa hawatamani watoto wao waje kuwa wanamuziki. Hii inadhihirisha wazi kuwa, kama mzazi hafurahii mwanae kuyaishi mambo yaliyopo kwenye game ambayo yeye yumo. Wadada hufanyiwa vitendo vibaya kwa ahadi za kusaidiwa, wavulana pia hutendwa vivyo hivyo kwa ahadi za kutolewa.
Ni hayo tu.
Nadhani ni jukumu la BASATA maana ndiyo wasimamizi wa wasanii,kwamba hupaoni alipokosea?Maadili yenu wabongo yameandikwa wapi??
Ni wapi huyo platform anaweza kushtakiwa kwa kuvunja maadili, kakosea kip??
Mnaweza kua mnapigania kitu ambacho hakipo.
Mwanangu wa kiume hawezi kufanya hivyo labda wako mkuu.Nadhani ni jukumu la BASATA maana ndiyo wasimamizi wa wasanii,kwamba hupaoni alipokosea?
Wewe mwanao wa kiume akikuvalia maua maua kama nyuki macho ameyarembua mabega wazi macho ameyalegeza utafurahi eti?!!!
BwabwaHakika zama zimebadilika sana.
Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu kutokana na wasanii wetu kujianika na mionekano kama hii.
Najua sio huyu tu, hata wewe huenda umewahi kukutana na picha za wasanii wengi tu wakiwa na mionekano ya kike. So sad..
View attachment 3360347
Tuliwahi kuishi tukiamini wasanii ni vioo vya jamii kutokana na nguvu waliokuwa nayo katika kuonya, kukosoa na hata kuhimiza maadili yaliyo mazuri.
Hatukatai mziki ni biashara lakini kwa mwenendo uliopo sasa, wasanii ndio wanakuwa kichocheo cha kuibomoa kabisa jamii sababu haohao huimba vitu vya kuchochea ngono, matumizi ya dawa za kulevya, matusi, pombe na mengine mengi kubwa zaidi ni Ushoga na Usagaji.
Wasanii wa sasa huenda mbali zaidi kwa kuihadaa jamii kwa mtindo feki wa maisha wanaouishi. Inawezekana ikaonekana ni kawaida kwa mtu ambaye amepevuka kiakili kung'amua mambo na kutambua huu sio uhalisia, ila wapo ambao bado akili zao hazijawa na nguvu ya kupembua mambo au mengi hawajayatambua kuhusu wasanii ndio huwa rahisi kuhadaika. Mfano wanafunzi (jinsia zote) huweza hata kuamua kusitisha masomo wakiamini muziki unalipa sana kwa kuwa kaona msanii fulani anaishi maisha ya juu sana mtandaoni au anaonekana kumiliki pesa ndefu kwa maisha yake ilhali kiuhalisia kabisa kuna watu wana majina ila uchumi mbovu kabisa. Simaanishi hakuna wenye maisha halisia, wapo lakini asilimia kubwa wanapretend.
Kuna baadhi ya wasanii katika mahojiano yao wamewahi kukiri wazi kuwa hawatamani watoto wao waje kuwa wanamuziki. Hii inadhihirisha wazi kuwa, kama mzazi hafurahii mwanae kuyaishi mambo yaliyopo kwenye game ambayo yeye yumo. Wadada hufanyiwa vitendo vibaya kwa ahadi za kusaidiwa, wavulana pia hutendwa vivyo hivyo kwa ahadi za kutolewa.
Ni hayo tu.
Mkononi mweusi lazima aachie ngaziHakika zama zimebadilika sana.
Katika kupita mtandaoni nikakutana na picha ya msanii Platform.. Imenifikirisha sana. Itafikia muda sasa jinsia ya kiume kuwa na mionekano ionekane ni sahihi tu kutokana na wasanii wetu kujianika na mionekano kama hii.
Najua sio huyu tu, hata wewe huenda umewahi kukutana na picha za wasanii wengi tu wakiwa na mionekano ya kike. So sad..
View attachment 3360347
Tuliwahi kuishi tukiamini wasanii ni vioo vya jamii kutokana na nguvu waliokuwa nayo katika kuonya, kukosoa na hata kuhimiza maadili yaliyo mazuri.
Hatukatai mziki ni biashara lakini kwa mwenendo uliopo sasa, wasanii ndio wanakuwa kichocheo cha kuibomoa kabisa jamii sababu haohao huimba vitu vya kuchochea ngono, matumizi ya dawa za kulevya, matusi, pombe na mengine mengi kubwa zaidi ni Ushoga na Usagaji.
Wasanii wa sasa huenda mbali zaidi kwa kuihadaa jamii kwa mtindo feki wa maisha wanaouishi. Inawezekana ikaonekana ni kawaida kwa mtu ambaye amepevuka kiakili kung'amua mambo na kutambua huu sio uhalisia, ila wapo ambao bado akili zao hazijawa na nguvu ya kupembua mambo au mengi hawajayatambua kuhusu wasanii ndio huwa rahisi kuhadaika. Mfano wanafunzi (jinsia zote) huweza hata kuamua kusitisha masomo wakiamini muziki unalipa sana kwa kuwa kaona msanii fulani anaishi maisha ya juu sana mtandaoni au anaonekana kumiliki pesa ndefu kwa maisha yake ilhali kiuhalisia kabisa kuna watu wana majina ila uchumi mbovu kabisa. Simaanishi hakuna wenye maisha halisia, wapo lakini asilimia kubwa wanapretend.
Kuna baadhi ya wasanii katika mahojiano yao wamewahi kukiri wazi kuwa hawatamani watoto wao waje kuwa wanamuziki. Hii inadhihirisha wazi kuwa, kama mzazi hafurahii mwanae kuyaishi mambo yaliyopo kwenye game ambayo yeye yumo. Wadada hufanyiwa vitendo vibaya kwa ahadi za kusaidiwa, wavulana pia hutendwa vivyo hivyo kwa ahadi za kutolewa.
Ni hayo tu.