Huyu ni mdudu gani?

Huyu ni mdudu gani?

Sasa aki paralaizi si ndiyo itakuwa poa zaidi maana hakuna mtu Ana taka kuchukuwa mwanamke mwenye matatizo..
Sasa utakulaje uroda na kupalalaizi ujue kidude kinajikunja kinakuwa kikavu kama kava la parachichi lililokauka ukichoneka unakwanguliwa
 
3E95F11800000578-0-image-a-1_1490353578301.jpg


Mdudu huyu wa ajabu kama mnavyomwona, ana vichwa viwili ambacho kimoja kipo mbele na kingine kipo nyuma (mkiani). Kimeonekana nchini Argentina katika mji wa Sante Fe.
Kiwavi tu hicho kinapatikana kwenye mbaazi. Nyuma sio kichwa, ni msambwanda
 
Duh!!!!
Hizi imani zinatupa shida kweli. Unakiomba msamaha kiumbe ambacho hukifahamu?
Natamani nikione na one day nitafanya ziara Tabora


Tabora ni kuzuri ila Imani za kishirikina zinarudisha nyuma ule mkoa, yaani ni kama Kigoma tu. Kwao kila kitu lazima ushirikina ushirikishwe.
 
Kweli mkuu, Tabora kuna vichaa wengi sijapata kuona! Nahisi hata kwa ombaomba pia wanaongoza


Nafikiri kwa ombaomba, wanakimbizana na Dar, Dodoma. Mwezi wa pili mwaka huu nilikuwa Dodoma. Nilishuhudia tukio/maajabu ya mwaka, niliona vijana wanapigana barabarani na kuchomana visu eti wanagombania barabara ya kukaa na kuomba watu hela. Yaani mtu anahamka asubuhi, akishakunywa tu chai yake, anawahi barabara na kuiita yake kwa ile siku ili akusanye kodi.
 
Bora bana viroba vimepigwa marufuku.
Hapa natafta miwani ya macho au darubini kukitafuta kichwa cha pili lkn sikioni
 
Back
Top Bottom