blackberry m
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 563
- 415
- Thread starter
- #121
Hayatapitia huko centroIta kuwa poa sana ila analia usije kujikuta Centro kwa ajili ya hayo maombi
Hayatapitia huko centroIta kuwa poa sana ila analia usije kujikuta Centro kwa ajili ya hayo maombi
Hapana siwez Pelekwa hukoIta kuwa poa sana ila analia usije kujikuta Centro kwa ajili ya hayo maombi
Acha libaki hivo hivo. Ye s anajifanya shujaa wa kuwasema wenzie vibayaHapo kwenye rangi umeenda mbali mkuu.
Tafadhali mtake radhi mwenzio
Nyoka bana kichwa kimoja kina macho kingine hakina hiki ndo hatari saaana anaitwa nyokolokosengaNI MDUDU MPYA DUNIANI TUSUBIRIE WAMCHUNGUZE WAJUE NI JAMII GANI YA MDUDU HALAFU WATAMPA JINA
Duuuu askofu kafunga mjadala na sisi tufungeKweli Kolomije kitakuwa kijiji cha maajabu
duh anapatikana wapi?Nyoka bana kichwa kimoja kina macho kingine hakina hiki ndo hatari saaana anaitwa nyokolokosenga
Kwa jinsi wanavyo penda sifa Uta sikia,hichi kiumbe Ina bidi kikae ikulu kwa usalama zaidi na siyo makumbusho ya taifa ili watu waende kukiona...Hahahahaaa hahhahaaaaa
Tutamwambia huyo alokiona akilete kiumbe hicho
Isoko kafule maeneo yenye baridi saaaaanaduh anapatikana wapi?
Anaitwa bashite wa Kolomije![]()
Mdudu huyu wa ajabu kama mnavyomwona, ana vichwa viwili ambacho kimoja kipo mbele na kingine kipo nyuma (mkiani). Kimeonekana nchini Argentina katika mji wa Sante Fe.
Kina sumu mbaya sana yaanakikipita jiran yako hata hakijakuona harufu Yake tu uaugua mafua na fungus hakuna dawa wakakiweke ikulu mtakuta mkulu wenu kakaukaaaaaKwa jinsi wanavyo penda sifa Uta sikia,hichi kiumbe Ina bidi kikae ikulu kwa usalama zaidi na siyo makumbusho ya taifa ili watu waende kukiona...
Huyo ni nyoka mlemavu![]()
Mdudu huyu wa ajabu kama mnavyomwona, ana vichwa viwili ambacho kimoja kipo mbele na kingine kipo nyuma (mkiani). Kimeonekana nchini Argentina katika mji wa Sante Fe.
Pia ukifanikiwa kumuua ukichemsha ngozi yake ukanywa mchuzi kwa siku 7 kwa mwenye tatizo LA nguvu za kiume atapona na kwa kweli wanawake watakuwa wanakukimbia maana ugegedaji wako utakuwa more advancedKina sumu mbaya sana yaanakikipita jiran yako hata hakijakuona harufu Yake tu uaugua mafua na fungus hakuna dawa wakakiweke ikulu mtakuta mkulu wenu kakaukaaaaa
Mmmhhhh Sasa Hao watafiti wata fanikiwa kweli kama kina wezo wa kuku athiri ukiwa karibu nacho,nahisi wataishia njiani katika uchunguzi wao maana kila atakaye kisogelea tu lazima aanguke.Kina sumu mbaya sana yaanakikipita jiran yako hata hakijakuona harufu Yake tu uaugua mafua na fungus hakuna dawa wakakiweke ikulu mtakuta mkulu wenu kakaukaaaaa
Tena ukianguka ndo ukiamka mjegejo hausimami na dawa ni supu ya ngozi yake na hapatikani kiurahisi lazma wawe machoko tuMmmhhhh Sasa Hao watafiti wata fanikiwa kweli kama kina wezo wa kuku athiri ukiwa karibu nacho,nahisi wataishia njiani katika uchunguzi wao maana kila atakaye kisogelea tu lazima aanguke.