Huyu ni mdudu gani?

Huyu ni mdudu gani?

Huyu mbona kiwavi-jeshi. Kwa tuliokulia bush tunawawafahamu sana tu, wamejazana mashambani wanakula magugu na mazao.

Huwa wanabadilika na kuwa vipepeo. Pia ni chakula kizuri kwa ndege wadogo.
 
Duh!!!!
Hizi imani zinatupa shida kweli. Unakiomba msamaha kiumbe ambacho hukifahamu?
Natamani nikione na one day nitafanya ziara Tabora


Huwezi kuishi Tabora wewe, yaani ule mkoa una vitu vya hajabu sijapata kuona Tanzania hii. Wakazi wanaamini sana nguvu za giza kule, ni sawa tu na Kigoma. Ukikorofishana na mwenzako unarushiwa uchawi na kuwa kichaa na ndiyo maana wanaongoza kuwa na vichaaa wengi hapa Tanzania.
 
Huwezi kuishi Tabora wewe, yaani ule mkoa una vitu vya hajabu sijapata kuona Tanzania hii. Wakazi wanaamini sana nguvu za giza kule, ni sawa tu na Kigoma. Ukikorofishana na mwenzako unarushiwa uchawi na kuwa kichaa na ndiyo maana wanaongoza kuwa na vichaaa wengi hapa Tanzania.
Kweli mkuu, Tabora kuna vichaa wengi sijapata kuona! Nahisi hata kwa ombaomba pia wanaongoza
 
Labda ni chatu mbilikimo.! Atakuwa anameza watu wadogo wadogo cause wenye urefu kuliko yeye hawawezia
 
Back
Top Bottom