Huyu ni mdudu gani?

Huyu ni mdudu gani?

3E95F11800000578-0-image-a-1_1490353578301.jpg



Tatizo la kuzaliwa mjini, mdudu huyo hapa Tanzania yupo wala sio ajabu. Kasalimieni babu zenu huko vijijini muwe munaona mazingira na viumbe wa huko
 
3E95F11800000578-0-image-a-1_1490353578301.jpg


Mdudu huyu wa ajabu kama mnavyomwona, ana vichwa viwili ambacho kimoja kipo mbele na kingine kipo nyuma (mkiani). Kimeonekana nchini Argentina katika mji wa Sante Fe.
Kuzaliwa mjini ni tatizo, mdudu huyo hata hapa TZ yupo tu. Jengeni tabia ya kwenda kusalimia Babu zenu vijijini mjifunze mazingira ya huko na viumbe.
 
Kuzaliwa mjini ni tatizo, mdudu huyo hata hapa TZ yupo tu. Jengeni tabia ya kwenda kusalimia Babu zenu vijijini mjifunze mazingira ya huko na viumbe.
Una uhakika kuwa mimi nimezaliwa au naishi mjini?
Huyo mdudu ushawahi kumwona wapi?
Je unao ushahidi wa walau picha hata moja?
 
Yaani hutaki ukweli au? Usipende kuishi na kufanya uongo njia ya kuendesha maisha yako. Utadanganya lakini juwa tu ukweli haufichiki kamwe.
Pasina shaka hukuelewa nilichokimaanisha.
Sijawahi ishi maisha ya kuigiza wala ya uongo.
Ila kilio changu ni juu ya mfano huo, usifananishe miji kwa mizania hiyo ya uomba omba kwani nao hawakupenda wawe vivyo walivyo leo
 
Huyo mdudu ni jamii ya snake aliwahitokea huko uchina enzi za king sznfzaeyeng majaabu aliyowachia jinsi alivyokuwa antingishika akiguswa na kitu mfano wa mtu anayepananga mikono wakakati wa mashambulizi ya karate badaye akatoweka .
 
Una uhakika kuwa mimi nimezaliwa au naishi mjini?
Huyo mdudu ushawahi kumwona wapi?
Je unao ushahidi wa walau picha hata moja?
Kikwetu anaitwa 'inzanga' ukimgusa anajipindua, ukirudia tena anajipindua. Jamani sio mdudu wa ajabu. Wale tunaotoka pamoja wamenipata. Sasa wewe mara temeke, kiwalani, uwanja wa taifa, tegeta, mbezi utamwona wapi nenda kamsalimie babu yako utawaona
 
Back
Top Bottom