blackberry m
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 563
- 415
- Thread starter
- #201
Ila mkuu utamu wa maelezo yako yameharibiwa na haraka.Huyo mdudu ni jamii ya snake aliwahitokea huko uchina enzi za king sznfzaeyeng majaabu aliyowachia jinsi alivyokuwa antingishika akiguswa na kitu mfano wa mtu anayepananga mikono wakakati wa mashambulizi ya karate badaye akatoweka .
Kuna maneno mengi hayaeleweki