Basi haina haja ya kwenda tanga kuwafunga wake zetu,dawa ni kukamata haka kadudu na kumpa wife atembee nako,atakaye leta shobo tu kaenda na maji.Tena ukianguka ndo ukiamka mjegejo hausimami na dawa ni supu ya ngozi yake na hapatikani kiurahisi lazma wawe machoko tu
Hilo silo tusi kweli?Nyoka bana kichwa kimoja kina macho kingine hakina hiki ndo hatari saaana anaitwa nyokolokosenga
Lakini siyo magogoniKwa jinsi wanavyo penda sifa Uta sikia,hichi kiumbe Ina bidi kikae ikulu kwa usalama zaidi na siyo makumbusho ya taifa ili watu waende kukiona...
Unatakiwa centro kwa kosa la kupotosha ummaPia ukifanikiwa kumuua ukichemsha ngozi yake ukanywa mchuzi kwa siku 7 kwa mwenye tatizo LA nguvu za kiume atapona na kwa kweli wanawake watakuwa wanakukimbia maana ugegedaji wako utakuwa more advanced
Hawataweza asilaniMmmhhhh Sasa Hao watafiti wata fanikiwa kweli kama kina wezo wa kuku athiri ukiwa karibu nacho,nahisi wataishia njiani katika uchunguzi wao maana kila atakaye kisogelea tu lazima aanguke.
Na kakimpiga jino wife anaparalaizi ika kanafaa kwa ulinziBasi haina haja ya kwenda tanga kuwafunga wake zetu,dawa ni kukamata haka kadudu na kumpa wife atembee nako,atakaye leta shobo tu kaenda na maji.
Huduma ya kufunga mademu pia ipo hata demu kumfunga mwanaume mwanangu ukienda guest huon k na mwanamke haon mjegejo noma saaaana unatoka taifa starz 2 uganda hawajapata kituBasi haina haja ya kwenda tanga kuwafunga wake zetu,dawa ni kukamata haka kadudu na kumpa wife atembee nako,atakaye leta shobo tu kaenda na maji.
Sasa aki paralaizi si ndiyo itakuwa poa zaidi maana hakuna mtu Ana taka kuchukuwa mwanamke mwenye matatizo..Na kakimpiga jino wife anaparalaizi ika kanafaa kwa ulinzi
Sio tusi ni jina la hako kadudu malawi kinaitwa sandabhana dawa kubwa saaaana kule kwa ukikiona lazima upelekwe kwa mtaalamHilo silo tusi kweli?
Twende huko sentro kwenyewe lazma watataka nikamtafute huyo mdudu waongeze nguvu we mtu mpaka upige viroba bwana ndo mashine iwe imaraUnatakiwa centro kwa kosa la kupotosha umma
Wacho tusubiri majibu yao wata tudanganya vp maana hawashindwi kutuambia hapo karne ya 3 walikuwepo Kisha waka potea baada gharika nuhu ila Sasa vina rudi tena baada kuona sodoma na gomora Ina rudi kwa kasi..Hawataweza asilani
Ukitazama video yake, utaona namna anavyojitahidi kung'atahuyu ni aina ya nyoka aitwae kifutu mbilikimo anapatakana only kwenye sayari ya mars......mimi siyo ndugu yake na yesu.....
Tufanye subira kwani subira yavuta kheriWacho tusubiri majibu yao wata tudanganya vp maana hawashindwi kutuambia hapo karne ya 3 walikuwepo Kisha waka potea baada gharika nuhu ila Sasa vina rudi tena baada kuona sodoma na gomora Ina rudi kwa kasi..
Kama siyo naibu nyoka basi atakuwa kaimu nyoka!mkuu tusubirie agentina wampe jina huku kwetu sijamuona
Sawa mkuuTufanye subira kwani subira yavuta kheri
ha haha basi sawaKama siyo naibu nyoka basi atakuwa kaimu nyoka!