ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,679
- 57,101
Inaonekana duniani Kuna species nyingi zaid
Haswaaa. Kila siku tunaona kiumbe au viumbe vya ajabuInaonekana duniani Kuna species nyingi zaid
Hasa kwenye Bahari nahis mungu aliweka viumbe vingi maana naskia Kuna sehemu baharini haijawahi kufikiwa na watu. Kutakuwepo maskani za viumbe nomaHaswaaa. Kila siku tunaona kiumbe au viumbe vya ajabu
Hivi kama hujui kitu kwa nini usikae kimya watalamu wakatupa jibu sahihi kuliko kudanganya?Ni aina ya nyoka mkuu.
Hivi kama hujui kitu kwa nini usikae kimya watalamu wakatupa jibu sahihi kuliko utumbo wako huu?
una ubaya na Rogie ?Hivi kama hujui kitu kwa nini usikae kimya watalamu wakatupa jibu sahihi kuliko utumbo wako huu?

Nimechukua Kama sample awakilishe wengine wote wenye tabia Kama yakeuna ubaya na Rogie ?
mbina kuna wengine wamecoment bashite..wengine kiwavi..but huyu otoa yake kwa kusema ni nyoka umemjibu kwa ukali hivo??eti utumbo..![]()
sio vizur hivoNimechukua Kama sample awakilishe wengine wote wenye tabia Kama yake
Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
Labda mtandao wa Kolomije pekee Ndio unaweza kukuambia kuwa huyo ni nyoka! Sasa kaa kimya mm na ww hatujui ngoja mtaalamu atuambie ww pamoja na waliosema ni bashite na utumbo mwingine kama huoAise nawe wajiita Great Thinker!? Nilienda kutafiti kwenye mtandao wakasema ni aina ya nyoka. Kama sio sahihi ungesema tu sahihi ni nini lakini sio kutumia lugha isiyo na ustaarabu. Hunijui sikujui tuheshimiane.
una ubaya na Rogie ?
mbina kuna wengine wamecoment bashite..wengine kiwavi..but huyu otoa yake kwa kusema ni nyoka umemjibu kwa ukali hivo??eti utumbo..![]()
Nilidhani hata huku kwetu wapo.
Ila mkuu hata nao wameshindwa kumtambua achilia mbali kumpa jina
Sasa mbona ana kichwa kama cha chatu?Kiwavi-jeshi
Sasa wewe kwanini hukumpa na badala yake unamlaumu?Hivi kama hujui kitu kwa nini usikae kimya watalamu wakatupa jibu sahihi kuliko kudanganya?
Duh!!!!Tabora wapo haswa maeneo ya Kigwa na kule wakionekana tu ni kama mkosi, wakazi wanawaomba msamaha kwani wanawahusisha na wenzetu waliotangulia mbele ya haki.