Huyu ndiye ‘the real’ Kikwete!

Huyu ndiye ‘the real’ Kikwete!

Si mlitaka baby face!! Mlifikiri rais lazima awe mzuri?? Cheyo aliposema watu mkamponda leo baada ya mwaka mnajionea wenyewe uwezo wa mteule wetu. Je 2015 sijui itakuwaje??
 
Mzee Yebo Yebo,

Ukweli ni kwamba bila kuwa na mfumo mzuri wa kiuongozi katika nchi mengi yakiwemo elimu, uchumi nk hayawezi kwenda sawasawa.

Nakubaliana nawe kwamba hatuna zana bora za kufundishia kama maabara na uchumi wa soko una madhara makubwa kwa nchi zetu.

Mtazamo wangu ni kuwa tuna matatizo katika msingi (wananchi) na katika usimamizi (serikali).

Ninaweza kumuelewa mwanafunzi wa kidato cha sita aliyesoma PCB, PCM, nk kuamua kusoma Bcom au mhandisi aliyeamua kusoma MBA kwasababu mtazamo unakuwa wa soko la ajira.

Lakini inaniwia vigumu kumuelewa mwanafunzi wa O level asiyetaka kusoma hesabu. Matokeo ya somo la hesabu kwa waliofanya mtihani kidato nne mwaka jana ni aibu, 77% wamepata F. Kwa mwendo huu tunajenga Taifa la watu wa aina gani!

Ni katika hali kama hiyo ndio maana mwaka jana kuna wanafunzi wamechaguliwa A level kusoma HGE wakati wana F za hesabu kitu ambacho si utaratibu wa kawaida.

Kituko kimoja kinachotokea hapa nchini ni kuwa eti vijana waliosoma mfano HKL kidato cha sita (wengine wakiwa na F za hesabu O level) wanachaguliwa kusoma Accounting katika kiwango cha Advanced Diploma. Sijui tunatengeneza wahasibu wa aina gani.

Ni hapo ndio nakubaliana nawe kwamba kuna tatizo kwenye serikali yetu ila tusisahahau na ya sisi wananchi!

Tunahitaji msukumo toka serikalini na support (na juhudi) kutoka kwa wananchi. Wenzetu India walianza hivyo na kufanikiwa. Tunaweza tukiamua!
 
NunguX2,YeboYebo,Mzalendohalishi,Kitila,Ziro,Tina....
Ningefurahi sana kama ungeanzishwa mpango wa kuwa na vyuo vya Shule za Sayansi na Vyuo vya Ufundi[Full Technicians Certificate] at least kimoja kila mkoa. Inasikitia mashaka jinsi shule/Vyuo vya Ufundi vinavyogeuzwa kuwa Vyuo Vikuu.

Tanzania hatujawahi kuwa na MKAKATI WA KITAIFA wa kuongeza idadi ya WANAFUNZI wanaosoma combination za SCIENCE. haitoshi kwa Raisi kulalamika kwamba idadi ya wanafunzi wanaosoma Science ni ndogo. Raisi ndiye anayepaswa kuja na mkakati wa kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosoma Science nchini petu.

Vyuo vikuu basically they work with what the "system" has given them. Kama sekondari hazitatoa wanafunzi wakutosha wa sayansi tusitegemee Vyuo Vikuu virekebishe kasoro hiyo.

Wakati sisi tunakimbiza MWENGE enzi za utawala wa Juliasi, wenzetu wa India,China,Japan,Korea,Malaysia,Cuba...walikuwa wanaweka mikakati ya kujitegemea ktk fani za Sayansi,Teknolojia,kilimo, na Utabibu.
 
Tusidanganyane hapa. Yebo Yebo kaeleza. Kinacho-determine taaluma siku hizi ni markatability. I can assure you, kama mtu angemaliza udaktari wake Muhi2..akaanza na mshahara wa Million 1.5/2 or so, au mwenye Bsc, ENG. NK anakuwa na mshahara wa kuishi na sio wa kulipa bill tuu.. na anayemaliza na Bcom akiingia BOT na TRA analipwa laki nne na nusu...Trust me..watu wangekesha wanasoma science. Hata mimi ningesoma science!..

Hivi jiulize mtu aliyesoma Bsc educ in Physics and Chemistry..anaishije katika Tanzania, kama sio mla rushwa? zaidi ya kuwa mwalimu wa sekondari? sasa utamwambia mtu akasome hiyo fani kweli..especially kama ni mtoto wako wakati unaona yanayowasibu waliosoma hayo masomo?

What happens siku hizi mtoto wa darasa la saba au o level wanaona the whole picture..kipato cha wazazi, kazi zao...kama baba ni hakimu na mambo yake ni super..I tell you utataka kuwa hakimu..kama baba/mama ni nesi, mwalimu..hali mbaya...utajitahidi kuavoid hizo fani. Si kama zamani..watu walikuwa wanasoma bila "mentorship" watoto wa siku hizi wanaambiwa na wazazi/walezi what to do wakiwa bado wadogo.

Ulimwengu wa leo, especially Tanzania, whether utaamua kuwa mwanasheria, daktari, muhandisi au vinginevyo..ni maslahi na wala si uzalendo. Kila mtu siku hizi anaingia siasa, why? ni kwamba wanapenda "kutumikia wananchi"? NOPE..ni maslahi..hiyo ya uzalendo ni secondary wishes.
 
Tusidanganyane hapa. Yebo Yebo kaeleza. Kinacho-determine taaluma siku hizi ni markatability. I can assure you, kama mtu angemaliza udaktari wake Muhi2..akaanza na mshahara wa Million 1.5/2 or so, au mwenye Bsc, ENG. NK anakuwa na mshahara wa kuishi na sio wa kulipa bill tuu.. na anayemaliza na Bcom akiingia BOT na TRA analipwa laki nne na nusu...Trust me..watu wangekesha wanasoma science. Hata mimi ningesoma science!..

Hivi jiulize mtu aliyesoma Bsc educ in Physics and Chemistry..anaishije katika Tanzania, kama sio mla rushwa? zaidi ya kuwa mwalimu wa sekondari? sasa utamwambia mtu akasome hiyo fani kweli..especially kama ni mtoto wako wakati unaona yanayowasibu waliosoma hayo masomo?

What happens siku hizi mtoto wa darasa la saba au o level wanaona the whole picture..kipato cha wazazi, kazi zao...kama baba ni hakimu na mambo yake ni super..I tell you utataka kuwa hakimu..kama baba/mama ni nesi, mwalimu..hali mbaya...utajitahidi kuavoid hizo fani. Si kama zamani..watu walikuwa wanasoma bila "mentorship" watoto wa siku hizi wanaambiwa na wazazi/walezi what to do wakiwa bado wadogo.

Ulimwengu wa leo, especially Tanzania, whether utaamua kuwa mwanasheria, daktari, muhandisi au vinginevyo..ni maslahi na wala si uzalendo. Kila mtu siku hizi anaingia siasa, why? ni kwamba wanapenda "kutumikia wananchi"? NOPE..ni maslahi..hiyo ya uzalendo ni secondary wishes.


Mikuki,
Nakupa 5- you are a Realist!
 
hii mada Tamu sana..Nungunungu karibu Jamvini...maana hapa baadhi ya watu hupenda kuwakebehi wazee wetu wanaopiga soga ktk vijiwe vya kahawa, kumbe sasa soga imehamia ktk internet, na watu tumekuwa addicted..sometimes hata tunasahau wajibu wetu.
Back to Mada. Serikali inahitajika kurebisha mishahara ya watu wa Science, iweje leo mtu wa TRA ana degree sawa na Daktari, then daktari apate mshahara mdogo, hii inasabibisha watu kuiona Fani ya Science haina mwelekeo TZ. Huwezi Amini Vijana wa Mzumbe wa PCM na PCB karibu nusu wanaingia BCOM au wapo ktk vyuo vya IFM au ARUSHA kusoma Biashara, wanajua kwanza watamaliza muda mchache, lkn pia watapata MASLAHI mazuri...wazee tunakazi!!!!
 
mmmmmmh! jamani watu wana sema Jamani ((((((Kha!!)))) Mwene anye!!!
 
serikali imeuwa yenyewe tamaa ya wanafunzi kupenda sayansi ...miaka iliyopita kabla tofauti ya kipato haijawa dhahiri...tuliona raha sana kuchagua mchepua wa sayansi sekondari tukiamini kuwa mchepua wa biashara ulikuwa kwa ajili ya vilaza....uliza mtu yoyote atakuambia fahari iliyokuwepo kuchukua sayansi ...baada ya mfumuko wa uchumi wa soko na rushwa kuota mizizi..tuliochukua sayansi tulijikuta tukikutana na wale tuliowacheka kama vilaza ..wengi waliobahatisha angalau devition 3 au 4 ...na kuchukua vikozi vya jioni vya uhasibu..wakiwa tayari wanakazi na wameshaanza kula commitions....hapo daktari aU engneer au daktari wa mifugo....unaenda kuunga foleni kwa cashier uliyejuwa unamuona kilaza shule..ana gari wewe unaswaga miguu...sasa frustration za wasomi wa sayansi zilianzia hapo...wengi wakaanza kubadili fani wapo waliofika form six [pcb,pcm.cbg...ets] wakaamua kuingia IFM.,CBE,ets wakapiga ADA na allahamdulah wakaona maisha yanakuwa bomba ...kuna kijana namfahamu kasoma degree ngumu ya madawa miaka 4...alivyoona longo longo karudi chuo kwa hasira kaazia upya BBA,MBA..CPA.sasa yeye PROFFESSIONAL BUSINESS AND ACCOUNTS CONSULTANT kwenye firminayoheshimika...mshahara anapata mkubwa ,maisha mazuri ambayo kwa namna yoyote hufananishi na sayansi.....kama hatutaboresha maisha ya wanasayansi na kuheshimu ubunifu...wimbi la watu kubadili fani litaendelea offcourse wale ambao umri umeenda wataingia siasa...
 
Mzee Yebo Yebo,

Ukweli ni kwamba bila kuwa na mfumo mzuri wa kiuongozi katika nchi mengi yakiwemo elimu, uchumi nk hayawezi kwenda sawasawa.

Nakubaliana nawe kwamba hatuna zana bora za kufundishia kama maabara na uchumi wa soko una madhara makubwa kwa nchi zetu.

Mtazamo wangu ni kuwa tuna matatizo katika msingi (wananchi) na katika usimamizi (serikali).

Ninaweza kumuelewa mwanafunzi wa kidato cha sita aliyesoma PCB, PCM, nk kuamua kusoma Bcom au mhandisi aliyeamua kusoma MBA kwasababu mtazamo unakuwa wa soko la ajira.

Lakini inaniwia vigumu kumuelewa mwanafunzi wa O level asiyetaka kusoma hesabu. Matokeo ya somo la hesabu kwa waliofanya mtihani kidato nne mwaka jana ni aibu, 77% wamepata F. Kwa mwendo huu tunajenga Taifa la watu wa aina gani!
Ni katika hali kama hiyo ndio maana mwaka jana kuna wanafunzi wamechaguliwa A level kusoma HGE wakati wana F za hesabu kitu ambacho si utaratibu wa kawaida.

Kituko kimoja kinachotokea hapa nchini ni kuwa eti vijana waliosoma mfano HKL kidato cha sita (wengine wakiwa na F za hesabu O level) wanachaguliwa kusoma Accounting katika kiwango cha Advanced Diploma. Sijui tunatengeneza wahasibu wa aina gani.

Ni hapo ndio nakubaliana nawe kwamba kuna tatizo kwenye serikali yetu ila tusisahahau na ya sisi wananchi!

Tunahitaji msukumo toka serikalini na support (na juhudi) kutoka kwa wananchi. Wenzetu India walianza hivyo na kufanikiwa. Tunaweza tukiamua!


Mhe Nungunungu

Hiyo namba ya 77% waliofanya mitihani (hesabu) mwaka jana ni kwa nchi nzima, mkoa au shule moja tu??


Iwapo ni kweli 77% ya waliofanya mtihani wa kitaifa wa O level wamepata F ya Hesabu basi tujue kuwa kama Taifa tumo katika hali ya HATARI.

Ningependa pia kugusia kuwa kushuka kwa wanafunzi wenye kusomea sayansi sio tatizo la Tanzania peke yake. Hata nchi nyingine za ulaya hasa UK. Vyuo vikuu vingi vinalazimika kufunga vitengo vyao hasa vya Chemistry kwa sababu ya uhaba wa wanafunzi. Lakini kwa sababu nchi hivi zinajali maendeleo ya raia wake Serikali imekuwa mstari wa mbele kuweka hatua za dharura kama kulipa bonus kwa walimu wapya wa masomo ya sayansi na kuongeza mfuko wa fedha vyuo vyenye maabara za sayansi hasa chemistry.

Sisi serikali yetu ndio kwanza inajitoa kwenye elimu na kuwaacha watu binafsi wazipe pengo la elimu; watu binafsi wao wanaangalia biashara na biashara nzuri maana yake ni mtaji mdogo wa kuwekeza, lakini faida iwe kubwa: sasa hakuna mtu binafsi atayeweka maabara za sayansi kwa gharama kubwa wakati ambapo kufundisha masomo ya biashara na sheria unahitaji vitabu tu...tena wanafunzi wapo tele wenye fedha za kulipa ada.

Taifa letu tunatakiwa tuwe na mkakati wa dharura elimu yetu imeingia shimoni, ikiambatana na maadili/nidhamu waliyokuwa nayo watoto wetu.

Nchi yetu haina Mafundi; mafundi wenye kujua kazi yao waliyosomea na waadilifu katika fani zote. Yaani kama ni mjenzi atayeweza kuongea na wewe katika lugha nyepesi na ukafurahishwa na utendaji kazi wake katika kiwango cha hali ya juu. Mafundi wengi naweza kusema 95% au zaidi ni wababishaji. Hata wale tunao waamini walisomea fani zao vizuri kama kiwango cha Full Technical Certificate (Dar/Arusha/Mbeya) nao wengi ni wababaishaji tu. Kwa maana ya kwamba hawana uhakika na wanachokifanya; huwezi kukuta fundi atayekujibu siwezi kufanya kazi fulani kwa sababu sina ujuzi au uzoefu huo. Wengi watakuambia wanajua na wamefanya sehemu nyingi; ni mpaka utakapokuja kukagua kazi baadae ndio utajua ukweli. Wengi ya hawa mafundi wetu hata kama hiyo kazi wamesomea ni huwa hawana mapenzi nayo, wanafanya tu kwa sababu ya fedha za haraka. Wengi ni wale ukiwauliza ilikuwaje ukasomea useremala, jibu linakuwa "ahh mzee wangu alipeleka pale chuoni ili na mimi nipate riziki" au "maisha mzee, chochote ili mradi tupate riziki"

Kwa hiyo badala tu ya kungangania kuongeza namba ya wahitimu peke yake ni muhimu sana kuzingatia QUALITY. Ni bora kuwa na wachache wenye QALITY kuliko wengi wababishaji kama sasa, wakati mwingi waTz wanaopenda Quality wako tayari kulipa zaidi hivyo ni faida kwa pande zote mbili husika.
 
Wenzio tushalia tukachoka na wala hasikii huyo, kauli mbiu yake ni 'kelele za mpangaji hazimtishi mwenye nyumba'
 
Mimi binafsi nilipokuwa olevel nikuwa napendasana masomo ya sayansi maana ilionekana kuwa ndio "vichwa" na wale vilaza walikuwa wanakwenda arts na biashara.Kwa hiyo form 2 nikaacha kabisa masomo ya biashara na kukimbilia kwa akina newton.
Nakumbuka siku moja ndugu yangu mmoja aliniuliza nachukua masomo gani nilimwambia PCM! jamaa alinicheka sana akanambia kama unataka uwe maskini basi soma masomo hayo,akaniambia utakuwa fundi bomba kijijini kwako kama huyu mzee.....(akamtaja fundi mmoja pale mtaani alivyokuwa na hali sii nzuri kimaisha na aliekata tamaa ya maisha)Niliachana nao nikachukua EGM.Ya waliowakuta wenzangu "wanasayansi" yanatia huruma sana.

Masomo ya sayansi hayana maslahi kwa nyumbani kuna jamaa mwingine namfahamu alimaliza udsm civil eng mwaka 1998 hakupata kazi mpaka mwaka 2004 alipoamua kujiunga na askari magereza,kakata tamaa.Kazi alizokuwa anapata ni party time tu na aliambiwa hajui kazi kama vijana wa dar tech.
Vijana wengi wanachanngamkia kozi za biashara ndio zinalipa,kama ukiwa na bahati ukaipata CPA(maana ni kama bahati kuipata) basi umeula au Proff nyingine kama ACCA na CA.
 
Mimi binafsi nilipokuwa olevel nikuwa napendasana masomo ya sayansi maana ilionekana kuwa ndio "vichwa" na wale vilaza walikuwa wanakwenda arts na biashara.Kwa hiyo form 2 nikaacha kabisa masomo ya biashara na kukimbilia kwa akina newton.
Nakumbuka siku moja ndugu yangu mmoja aliniuliza nachukua masomo gani nilimwambia PCM! jamaa alinicheka sana akanambia kama unataka uwe maskini basi soma masomo hayo,akaniambia utakuwa fundi bomba kijijini kwako kama huyu mzee.....(akamtaja fundi mmoja pale mtaani alivyokuwa na hali sii nzuri kimaisha na aliekata tamaa ya maisha)Niliachana nao nikachukua EGM.Ya waliowakuta wenzangu "wanasayansi" yanatia huruma sana.

Masomo ya sayansi hayana maslahi kwa nyumbani kuna jamaa mwingine namfahamu alimaliza udsm civil eng mwaka 1998 hakupata kazi mpaka mwaka 2004 alipoamua kujiunga na askari magereza,kakata tamaa.Kazi alizokuwa anapata ni party time tu na aliambiwa hajui kazi kama vijana wa dar tech.

Vijana wengi wanachanngamkia kozi za biashara ndio zinalipa,kama ukiwa na bahati ukaipata CPA(maana ni kama bahati kuipata) basi umeula au Proff nyingine kama ACCA na CA.


Sasa ukiona hizi ndio tujue kuwa kuna tatizo; basi tunahitaji zaidi Dar Tech/Dar Inst of Tech Now, kuliko Universities. Ili mradi tuweke Quality mbeye zaidi ya idadi.

CPA, ACCA na CA zote ni Technical Qualification na sio Academic...is less Academic; More technical the best way forward then. I believe so.
 
Mhe. Yebo Yebo hiyo 77% ya F za hesabu mwaka jana ni kwa nchi nzima kaka! Na hiyo 23% iliyobaki ndio vijana wamegawana A, B, C na D. Kama ulivyosema ni HATARI!!
 
Mhe. Yebo Yebo hiyo 77% ya F za hesabu mwaka jana ni kwa nchi nzima kaka! Na hiyo 23% iliyobaki ndio vijana wamegawana A, B, C na D. Kama ulivyosema ni HATARI!!


Nchi zingine Waziri wa Elimu anajiuzulu kwa hili. Sijui ilikuwaje habari hizi zikanipita lakini 77% kupata F Hesabu tena O Level jamani kulikoni...!!!

- Ni mitihani migumu?

- Walimu hakuna?

- Walimu Wabovu?

- Silabasi ni mbovu?

Au maana yake nini, hawa wanafunzi kwanza walifikaje hiyo Form 4 kama hata wenye uwezo wa kupata A-D ni 23% peke yake?

Ina maana hakuna mitihani ya majaribio kabla ya kuvuka darasa au hiyo mitihani haina kiwango sawa na mtihani wa Taifa? Nina maswali mengi bila majibu...mwenye taarifa tafdhalini nielewesheni hapa.
 
Nchi zingine Waziri wa Elimu anajiuzulu kwa hili. Sijui ilikuwaje habari hizi zikanipita lakini 77% kupata F Hesabu tena O Level jamani kulikoni...!!!

- Ni mitihani migumu?

- Walimu hakuna?

- Walimu Wabovu?

- Silabasi ni mbovu?

Au maana yake nini, hawa wanafunzi kwanza walifikaje hiyo Form 4 kama hata wenye uwezo wa kupata A-D ni 23% peke yake?

Ina maana hakuna mitihani ya majaribio kabla ya kuvuka darasa au hiyo mitihani haina kiwango sawa na mtihani wa Taifa? Nina maswali mengi bila majibu...mwenye taarifa tafdhalini nielewesheni hapa.



Kutokana na hoja mbalimbali zilizotolewa hapa huoni kwamba kama hesabu haitaathiri maisha bora hapo baadae, ya nini kujihangaisha nayo. Tena imeshasemwa kwamba wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wanawashauri vijana kuachana na baadi ya masomo ili walenge kwenye yale yatakayowaletea maisha bora (rushwa ikiwemo) haraka sana.
 
Kutokana na hoja mbalimbali zilizotolewa hapa huoni kwamba kama hesabu haitaathiri maisha bora hapo baadae, ya nini kujihangaisha nayo. Tena imeshasemwa kwamba wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wanawashauri vijana kuachana na baadi ya masomo ili walenge kwenye yale yatakayowaletea maisha bora (rushwa ikiwemo) haraka sana.


Mhe Ilongo

Watu hapa (mimi nikiwa mmoja wao) wameponda Sayansi. Sasa sijui kama Hesabu unaijumlisha kama Sayansi.

Hata kama huo ulaji upo kwenye masomo yasiyo ya Kisayansi, sijui mtu atapataje CPA, ACCA n.k kama ni kilaza wa hesabu japo kwenye kiwango cha kupata D.
 
Hivi hawa wanaomuandikia hizi hotuba huwa wanafikiria? Mimi naona kuna kaukilaza ka aina fulani. Analalamikia wanafunzi wachache kuchukua masomo ya Sayansi wakati tuna wanafunzi karibu 20 wanaotaka kusomea udaktari, uhandisi kule Ukraine ambao serikali yake mwenyewe inataka kuwatumia tiketi warudi nyumbani? Mbona maneno hayaendani na vitendo? Mimi nimeanza kupatwa kidhungudhungu.

asante

pole kwa kidhungu dhungu, hawa wanafunzi inasemekana wameenda kwa kujidhamini wenyewe, na tuliomba barua amabayo inaonyesha kuwa serikali ilijickomiti kuwa itawalipia au kuwapa mikopo haijaja sasa wao hawaoni kuwa ni tatizo lao


ila bi 50 senti hili suala tulimuacjia mkjj alifuatilie ssasa katwambia tusubiri kwa hiyo tunasubiri, na ww subiri kama ulivonitaka mie nisubiri

na nnakuomba usipandishie mada juu ya mada u8shauri tu
 
wachangiaji,
inaelekea kuna tatizo la maslahi madogo ktk taaluma za Sayansi. kwa kweli wa kulaumiwa hapo ni serikali ukizingatia kwamba kwa muda mrefu ndiyo imekuwa muajiri mkuu.

Tanzania ni kati ya nchi chache sana ambapo entry-level accountant analipwa kuliko Daktari, au Mhandisi.

suala linabaki palepale kwamba kuna umuhimu wa ku-train wataalamu wa Sayansi,Teknolojia,Uhandisi,Kilimo,Utabibu,na Elimu kwa wingi zaidi.

Kama mlivyoelekeza wengi wenu, mkakati wa kufufua taaluma za SAYANSI na TEKNOLOJIA uende sambamba na kuboresha maslahi ya wataalamu hao.
 
Back
Top Bottom