Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 185
Kikwete had a point mpaka alipoanza kuongelea ratio ya lectures to students. Ratio hiyo ikiwa kubwa sana inaweza kuathiri quality ya taaluma na wakufunzi.
All in all ameanzisha mjadala mzuri, na tumpe hongera zake.
kwani Hiyo Hotuba kaandika yeye ama ameandikiwa?