kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,075
- 1,550
Good! Keep up the good work!
Nimesikiliza clip ya DW YouTube ambako Shangazi Fatma Karume ametamka kuwa Ally Mchengelwa ni Mkwe wa Rais SSH, lakini ana elimu na uzoefu stahiki kwa kazi aliyopewa.Huyu mchengelwa ukweni ni wapi?
Maana kuoa na kuolewa ni mmoja yapo ya Cv's
Basi ni tapeli tu huyo.Amepata nafasi nyeti sana lakini anahitahi kubadilika ili aweke integrity kwenye hiyo nafasi, na kutunza heshima ya aliyemteua.
Akiwa Msaidizi wa Jaji Mkuu alikuwa na element za UTAPELI. Kuna maamuzi ya kuhamisha Mahakimu ambayo alikuwa anafanya bila idhini ya CJ. Pengine alikuwa anapata chochote.
Nimeliweka hili kumjenga na siyo kumbomoa kwa hiyo halihitaji ubishi.
Ni wa Rufiji huyuHuyu mchengelwa ukweni ni wapi?
Maana kuoa na kuolewa ni mmoja yapo ya Cv's
Sawa
kweli mkuuWateule wafanye kazi kwa bidii. Pia wasisahau kuwaomba msamaha Watanzania na Mungu pia, maana wengi wao ni zao la uchaguzi uliokosa sifa ya kuitwa uchaguzi huru na wa haki, wa 2020. Japo ni kweli pia kuwa wapo ambao hata bila uharibifu wa uchaguzi, wangeweza kuchaguliwa na wananchi.
Siku zote tulitakie mema Taifa letu. Na njia ya kulitakia mema Taifa na namna bora ya kuwa wazalendo kwa Taifa letu ni kupenda kutenda haki na kupigania haki za kwetu na za wengine.
🙏🙏🙏Nimesikiliza clip ya DW YouTube ambako Shangazi Fatma Karume ametamka kuwa Ally Mchengelwa ni Mkwe wa Rais SSH, lakini ana elimu na uzoefu stahiki kwa kazi aliyopewa.
Namuunga mkono Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan kumuweka karibu Mkwe wake.
Dah imekuwa hayo tenaLegacy aliyowaachia Magufuli maCCM wenzake ni "Praise or Perish", Msukuma huyu wa Chato anamsifia mtu wa Rufiji aliyeteuliwa juzi tu eti ni mchapa kazi sana atamsaidia Rais kuijenga Tanzania tuitakayo. Rais aepukane na sifa za kijinga hizi, awatathimini aliowateua baada ya kukamilisha majukumu aliyowapa.
Yani umepata yote hayo ila hili haujalipata 😂😂😂Hilo bado sijalipata
🙏🙏🙏 shukurani mkuu.Mbona Walioteuliwa ni wengi tu na hujawafanyia hii Profile kama huyu? Kwani kuna nini kimetokea hadi Nguvu Kubwa hivi ya Kimaelekezo na Kiufafanuzi inalazimishwa Kujulikana Kwetu Wanyonge?...