Chato ilikwisha 17/3Chato 😎 😎
Chato ilikwisha 17/3Chato 😎 😎
Umebahatika kutembelea jimboni kwake hata sehem moja k.v ikwiriri, utete, ngarambe, muhoro, mkongo, mwaseni, mbunju.nk?? Au umesimuliwa?? Hayo uliyoandika kaka, ukweli wake ni mdogo sana.mimi nawajuza si kwamba nampromote
Inaonekana unamjua vizuri haya na hili la kusingiziwa ni mkwe wa raisi unalizungumziaje!
Huyu sio Yule 'Wa mtakatifu YOHANA Evening class'.
Wang'hwise umeshindwa kunijibu kabisa.Maendeleo hayana chama
Rufiji gan hiyo mzee?Rufiji
Fact ndugu tunataka rami nyamwage utete na kibiti mloka akishindwa kujenga ajiandae 2025Fujo zake tuna zielewa... Hawa ndio walipata fursa baada ya urafiki wao na watu msoga... Hakuna alilolufanya kushadihisha maendeleo ya wana rufiji... Kipo, muhoro, siasa, kingupira, mkongo, ngorongo, nyambunju, mbwala shida tupu... Rufiji afadhari unaipata utete na ikwiriri sio zaidi ya hapo...
Kubwa ni hilo ndugu tunataka rami njia ya nyamwage utete kibiti mloka akishindwa ajiandae kwa upinzan mkuu tumesubiri sana tena kwa mda mrefu sana alaf tumetoa mawazir wengi sana but wameshindwa kumaliza changamoto ya miundombinuHongera naona unasifia rafiki yako. Watanzania wachapakazi na waadilifu wapo wengi sema mfumo ndo hauruhusu kupewa nyadhifa.
Mpigie kampeni ila mkumbushe changamoto zetu izo azifanyie kazi pia nadhan yeye mwenyewe anazijua hizo kero zetu please tunahitaji vitendo zaidi sio propagandaSawa bhabha.
Nimekuelewa tusubiri tuone
Mzee huku rufiji sisi hatuhitaj asili yake maana kuna utata kuhusu hilo jambo but tunaomba kupitia nafasi yake amalize kero zetu sugu maana rufiji ni wilaya kongwe ambayo haina maendeleoNgoja nifuatilie eneo lake