Assaalaaaleeee!!!! Mbona amelala kwenye maji machafu????....
Mbona nasikia ana familia na ng'ombe kibao huko kwao?Mmmmmh! ana huzunisha hivi hanaga ndg?
Assaalaaaleeee!!!! Mbona amelala kwenye maji machafu????....
si tu ni omba omba, bali hata akili yake ameiweka kwenye cage ya utumwa kwamba kwa kufanya hivyo ataonewa huruma matokeo yake kila mtu anamshangaa. Huyo mama anayemshangaa ni rika lake kabisa