Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,168
Hakuna kitu kibaya kama utumwa wa akili...hili la Matonya ni janga la kitaifa....tunatofautiana kwa magnitude tu ya kufanya hivyo ndio maana huwa tunajisifia kuomba na kupewa misaada. Matonya yeye ameamua kutokwenda ulaya na marekani...anatukamua wabangaizaji wenzake.sisi wengine twasafiri kwa ndege kwenda kuomba misaada.Ila kuomba ni kuomba tu