stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
We ukioana na Mwigulu au Nape mtafaana sana.
Last edited by a moderator:
Ok, kwa data za TRA wamelipa 16 million, taarifa za ndani 8.56 billion, ada ya wakala 7.8 billion? kama ni kweli hii ni epa nyingine hapa, ila weka ushahidi pia
Ok, kwa data za TRA wamelipa 16 million, taarifa za ndani 8.56 billion, ada ya wakala 7.8 billion? kama ni kweli hii ni epa nyingine hapa, ila weka ushahidi pia
Mkuu never say never ... yasiyowezekana kwingine,tz yanawezekana.Acheni utoto.hakuna biashara kama hiyo duniani. yaani wakala apate bilioni 7.8 na TRA ikapata milioni 16 tu?
Wengi huenda hatujaelewa mleta mada anachoongelea, ni kitu muhimu sana. Akiweza kuweka ushahidi wa haya madai basi japo kwa uzoefu wa ufisadi hapa Tanzania hizi ni pesa ndogo lakini zinaweza kutoa picha halisi ya uhujumu uchumi wa hali ya juu unaofanywa na wale waliopewa jukumu la kuudhibiti. Ngoja tusubirie huo ushahidi na ikitokea ukatua hapa mwangwi wake utakuwa mkubwa kiasi cha kuiangusha serikali.Taarifa za TRA mpaka jana zilikuwa zinaonyesha kuwa kampuni hiyo imeingiza mizigo/mitambo yenye thamani ya kodi ya shilingi za kitanzania 16 milioni tu kupitia kampuni ya Sharaf Shipping Company ambapo Taarifa zinaonyesha kuwa Kinana anamiliki hisa 7,500 kati ya 10,000 za kampuni hiyo inayoitwa Sharaf Shipping Company iliyosajiliwa Dar es Salaam tangu mwaka jana mwezi wa saba.
Kinyume chake taarifa na nyaraka za kiintelijensia kutoka ndani ya kampuni hiyo ya Strabag zinaonyesha kuwa kampuni ya Strabag imeilipa 8.56 bilioni kampuni ya wakala wa meli ya Sharaf Shipping Company kama malipo stahiki ya kodi ya uingizaji mitambo nchini tangu kampuni hiyo ilipoanza uingizaji wa mitambo ya ujenzi nchini 03-07-2012,
Kisha ikailipa tena 7.8 bilioni kama gharama za uwakala wa mitambo hiyo,
Acheni utoto.hakuna biashara kama hiyo duniani. yaani wakala apate bilioni 7.8 na TRA ikapata milioni 16 tu?
Hivi mtu akija na uzushi wake humu anakuwa na nyaraka toka idara nyeti, si ajabu huyu ni mwandishi wa Tanzania daima, naye utasema ana habari.
Wewe unachopinga ni nini hapa!!? Ni mangapi yamewezekana chini ya serikali yako ya ccm!!? Umewahi kusikia hii kitu inayoitwa CHENJI YA RADA na ilikuwaje??
Tanzani inaongoza kwa majungu.
Kama taifa ni lazima tuamue kubadilika,
Tuvihubirie elimu ya mageuzi vizazi vya leo viwe ukombozi sasa na kesho,
Hiyo mipasho yenu imeexpire
Hiyo mipasho yenu imeexpire
Yericko,
Story za vijiweni kama hizi ndio unapeeeeenda.
akiwa kwenye tarehe zake anakuwa na maneno machafu sana
Mbona unajuhudi kubwa sana kumtetea Kinana kwa tuhuma hizi?
Una maslahi nae?