Huyu ndiye Freeman Mbowe wa CHADEMA

Huyu ndiye Freeman Mbowe wa CHADEMA

Huyi ni kichwa! Pamoja na vikwazo kibao ameweza kuifikisha CDM hapa ilipo kwa umakini mkubwa! Kikwete yeye kaisaidiaje CCM kama siyo kukipeleka kaburini?
 
Wewe mpuuzi kabisa....kwani kakwambia lini anataka kuongoza nchi? HATA KAMA KUNA UBAYA GANI? Hebu elimika

Andry Nirina Rajoelina (born May 30, 1974), is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on March 21, 2009, during the 2009 Malagasy political crisis, after holding the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. Over the course of his teens and early twenties, he gained popular recognition in Antananarivo as a DJ at local clubs and parties, and later for organizing and promoting musical events in the capital.

Mkuu Safari_ni_Safari una uhakika kama mdau unayejaribu kumuelwesha hii lugha ya malkia inapanda?
 
Last edited by a moderator:
Naona umewamisi sana viwavi wa Zitto Kabwe sasa unawachokoza waje hapa kwa hasira zote, ila nadhani saa wako bize kupika majungu dhidi ya Heche huko Morogoro.

Subiri muda si mrefu watamaliza kikao morogoro sasa uone watakavyoingia JF kwa spidi ya kufa mtu.
 
yote mtasema lakini matokeo ni .... 2015, mi cfungamani na upande wowote.
 
Mbowe na Lema nani anatema madini...kwi kwi kwi.

Yule mgonjwa wenu wa ukimwi ambaye kila siku yuko angani kwenda kubadili damu, ndiye anayetema madini vizuri... 'we are manufacturing teachers'
 
Kuna haja sasa kama sio ulazima wa JF kufanya sensa ya kufahamu umri, weredi na fikra za MEMBERS wake, huwezi mtu mzima na akili timamu katika ulimwengu wa leo kustahajabishwa na kumsifia mtu kwamba anajua kuongea, heti ana madini?

Hii nchi tumeshasikia kila tunachotaka kusikia, kilichobaki ni kuona na kushika ambayo hiyo kazi tumewaachia na tutaendelea kuwaachia CCM waifanikishe kama Ilani ya chama inavyotafsiri, wewe kama unatamani kuendelea kusikiliza hao waropokaji kawafate bilicanas ukawasikilizie live huko sio kwenye Youtube videos.

Wewe na nani?? Mbona mnaplant mauaji ya raia wasio na hatia kwa kisingizio cha kitu kizito kurushwa toka kwenye kundi la wafuasi wa chadema kama unauhakika na uyasemayo?? sio kwamba yamefika shingoni au ni yale yale ya Alsahaf??

 
Wewe mpuuzi kabisa....kwani kakwambia lini anataka kuongoza nchi? HATA KAMA KUNA UBAYA GANI? Hebu elimika

Andry Nirina Rajoelina (born May 30, 1974), is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on March 21, 2009, during the 2009 Malagasy political crisis, after holding the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. Over the course of his teens and early twenties, he gained popular recognition in Antananarivo as a DJ at local clubs and parties, and later for organizing and promoting musical events in the capital.

Wapashe Mkuu nadhani watakuelewa hasa Mhe Six na wapambe wake, wamuulize Rajoelina wa Madagasca hicho kipaji cha utawala kapata wapi??? Kamada wa anga Mhe Mbowe mimi namwaminia ukijumlisha na Dr Slaa wa ukweli nchi hii ina watu Bwana, tuache unafiki wa kiCCM!!!!

 
yote mtasema lakini matokeo ni .... 2015, mi cfungamani na upande wowote.
 
manem na utendaji ni vitu viwili tofauti kuongoza nchi sio kuongoza disko

juha na uzuzu ni ngao za fikra zako.

Bora mwenzako anaongoza disco je wewe umewahi kuongoza hata klabu ya pombe mnazi au magahawa?

Kichwa kama joka la midimu.
 
Kwa nini mnapenda kejeli na matusi ili kuharibu mijadala?
Alaf nyie ndio wa kwanza kusema cdm wana matusi.

Nadhani wewe ni mtu mzima haifai kuharibu hoja kwa matusi, weka hoja zako sio matusi bhana.

manem na utendaji ni vitu viwili tofauti kuongoza nchi sio kuongoza disko
 
yaan ni sawa na kupaka mavi mayonise na matomato source na pilipili then unawaambia watu wale kisa hvyo viungo.any way mwenye akili timamu anatambua hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom