Don Draper
Senior Member
- May 30, 2012
- 176
- 87
mbona video ya maswali na majibu aliyotoa imefichwa?
Mbowe ni jembe la ukweli, ana hekima nandiyo maana mara nyingi amekuwa akitengua tungo tata za viongozi wenzake wawapo mjukwaani.
video ya maswali na majibu CHADEMA wameificha
halafu wanazungumzia transparency!
kama una uhakika imefichwa naomba ujaribu kuifichua
Unacho kichangia kinasadifu uwezo wako wa kufikiri. Kwenye hotuba nzima umesikia peoplez power peke yake?! Na hiyo peoplez power imetanguliwa na maneno gani?!
Mkuu ritz wewe acha ushabiki na wenge la asubuhi asuhi! Isikilize tena hiyo hotuba, najua itakuwa unasikiliza labda kwa mara ya pili au tatu, usichoke sikiliza tena hata ukiwa umejificha peke yako utapata neno lingine sio hilo la peoplez power peke yake.
Wanao kutumia waambie wasikutumie vibaya au kama unapenda kutumika vibaya jitwishe utashi kidogo kichwani mwako.
Kazi njema kama utakwenda kazini.
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Wewe endelea kuwadharau wacheza bao hao ndio wapiga kura.
Mkuu chukua muda isikilize unaweza tokwa na machozi kwa uchungu mkubwa jinsi Watanzania tulipofika leo...Ya mwaka 2012? leo umeikumbuka kwa sababu ipi hasa ?
Mkuu chukua muda isikilize unaweza tokwa na machozi kwa uchungu mkubwa jinsi Watanzania tulipofika leo...
ngoja tukuwekee hotuba ya kamanda anayoitema hivi sasa kyela , cc - Stand alone .Katika miaka mingi ilopita sijapata kusikia Hotuba nzito na yenye maudhui mazito kama ya Mhe. Freeman Mbowe aloitoa Washington DC mwaka 2012.. Ni hotuba hii inayonipa ushawishi mkubwa kwamba Chadema ile sio hii ya leo. Unaweza kuipata hapa
mbona video ya maswali na majibu aliyotoa imefichwa?