Punguza jazba ndugu,sidhani kwa kauli zako kama hizi kunaondoa ukweli wa Thread hii kwamba wananchi kwa mamilioni wana-support CDM kutokana na weledi wa viongozi wake akiwemo kamanda wa anga mhe. Mbowe. 2015 utaisoma namba,tuijenge nchi yetuKuna haja sasa kama sio ulazima wa JF kufanya sensa ya kufahamu umri, weredi na fikra za MEMBERS wake, huwezi mtu mzima na akili timamu katika ulimwengu wa leo kustahajabishwa na kumsifia mtu kwamba anajua kuongea, heti ana madini?
Hii nchi tumeshasikia kila tunachotaka kusikia, kilichobaki ni kuona na kushika ambayo hiyo kazi tumewaachia na tutaendelea kuwaachia CCM waifanikishe kama Ilani ya chama inavyotafsiri, wewe kama unatamani kuendelea kusikiliza hao waropokaji kawafate bilicanas ukawasikilizie live huko sio kwenye Youtube videos.
Hakuna hotuba hebu iweke tena tuyaone hayo madini (kama yapo lakini)
Inabidi, madaktari, wakucheki ubongo wako!manem na utendaji ni vitu viwili tofauti kuongoza nchi sio kuongoza disko
Wakuu.
Mtakumbuka kuwa nilisha wahi kuandika hapa jukwaani kuwa kwa sasa hivi hapa Tanzania hakuna mwenyekiti wa chama chochote cha siasa mwenye influence na anae tema madini mdomoni akiongea kumzidi kamanda Freeman Mbowe.
Ukiweka ushabiki pembeni na kusimamia ukweli, Mbowe amekuwa mwenyekiti mwenye mvuto wa kipekee kwenye medani za siasa za Tanzania kwa sasa kuliko mwenyekiti wa chama chochote cha siasa.
Japo najua watanzania wana kiu na njaa ya mabadiliko ambayo naamini wamekata tamaa kuyapata ndani ya ccm naamini uwezo na influence ya Mbowe pamoja na viongozi wengine wa chadema imechangia sana kuiweka chadema kwenye ramani iliyopo sasa.
Asiye amini kuwa Mbowe anatema madini mdomoni atafute hotuba zake au asikilize kwa makini hii hapa chini
Ukurasa wa 107 wa Kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu kuna aya inasema ....Akichangia mada Sajinihitaji Friimani alisema "Nchi yetu ni mali yetu sote tuliyopewa na Mungu kwa umoja wetu. Hakuna Chama cha siasa chenye hakimiliki ya nchi hii. Hata chama tawala hakina hakimiliki hiyo.Kamanda wa Anga! Namkubali sana hasa anaposema "tunazungumzia mustakabal wa taifa letu!"
Kuna haja sasa kama sio ulazima wa JF kufanya sensa ya kufahamu umri, weredi na fikra za MEMBERS wake, huwezi mtu mzima na akili timamu katika ulimwengu wa leo kustahajabishwa na kumsifia mtu kwamba anajua kuongea, heti ana madini?
Hii nchi tumeshasikia kila tunachotaka kusikia, kilichobaki ni kuona na kushika ambayo hiyo kazi tumewaachia na tutaendelea kuwaachia CCM waifanikishe kama Ilani ya chama inavyotafsiri, wewe kama unatamani kuendelea kusikiliza hao waropokaji kawafate bilicanas ukawasikilizie live huko sio kwenye Youtube videos.
manem na utendaji ni vitu viwili tofauti kuongoza nchi sio kuongoza disko
Hivi kusema hakuna kulala mpaka kieleweke, pipooz power...haya ndio madini ya chumvi uvinza.
namashaka na uwezo wako wakufikiri, kama siyo mcheza bao wewe ......sijue!!
Hivi kusema hakuna kulala mpaka kieleweke, pipooz power...haya ndio madini ya chumvi uvinza.