Huyu ndiye bwana mdogo Kalulu aliyeasiliwa na Sir Henry Stanley na kuzunguka naye Afrika,Ulaya na Amerika

kwa mujibu wa wikipedia , kalulu alipatikana tabora na jina kalulu humaanisha swala mdogo

hivo naamini kalulu alikuwa mwenyeji wa Tabora


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sir Henry Morton Stanley hakuwahi kuoa, kuwa na mtoto au kuwa na mahusiano na wanawake, na alikuwa homosexual. Uhusiano wa namna hii kati ya basha na kijana mdogo wa kiume unaitwa pederasty kwa Kiingereza. Henry Morton Stanley alikuwa pederast.
 
nilisoma mitandaoni kuna hostoria kwamba wazungu waliwabaka watu weusi wanaume na wanawake
hii historia inafichwa sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Siyo wazungu tu, hata baadhi ya machifu wa kiafrika walikuwa wanalawiti wale watumishi wa kiume, someni habari za Kabaka Mwanga.
"........
A year after becoming king he executed Yusufu Rugarama, Makko Kakumba, and Nuuwa Sserwanga, who had converted to Christianity. On 29 October 1885, he had the incoming archbishop James Hannington assassinated on the eastern border of his kingdom.

For Mwanga, the ultimate humiliation was the insolence he received from the (male) pages of his harem when they resisted his sexual advances. According to old tradition the king was the centre of power and authority, and he could dispense with any life as he felt. It was unheard of for mere pages to reject the wishes of a king. Given those conflicting values Mwanga was determined to rid his kingdom of the new teaching and its followers. Mwanga therefore precipitated a showdown in May 1886 by ordering converts in his court to choose between their new faith and complete obedience to his orders and kingdom.[2]
 
Kalulu alikuwa ni kijana wa miaka 12 ambaye alinunuliwa kama mtumwa kutoka kwa waarabu huko Zanzibar na mwingereza aitwae Sir Henry Morton Stanley. Mwingereza huyu alikuja kama mpelelezi kwa ajili ya kuipeleleza Afrika na kuiandaa kuja kutawaliwa na wakoloni.

Kijana huyu jina lake halisi alikuwa anaitwa Ndugu Mhali lakini Sir Henry Stanley hakulipenda jina hilo hivyo akambatiza kijana huyo jina akamwita Kalulu.

Hivyo Kalulu alikuwa ni mfanyakazi wa Sir Henry Stanley kati ya miaka ya 1872 mpaka 1873 Kalulu alifanikiwa kuwa mfanyakazi wa karibu wa Sir Henry Stanley walizunguka wote huko mabara ya Amerika na Ulaya.

Sir Henry Stanley alimpeleka shule Kalulu huko Wandsworth, South west London mwalimu wa Kalulu aligundua kuwa Kalulu ni mjanja sana na alikuwa anajifunza vyema lugha ya kiingereza.

Lakini Kalulu hakufanikiwa kusoma kwa muda mrefu shuleni hapo kwasababu ilipo fika mwaka 1874 Dr David Livingstone alifariki akiwa nchini Zambia hivyo Sir Henry Stanley alitakiwa kurudi Afrika kushika nafasi iliyoachwa na Dr Livingstone katika shughuli za upelelezi. Hivyo Sir Henry Stanley alimwachisha shule Kalulu huko london wakarudi Afrika.

Ilipofika mwaka 1877 Kalulu akiwa kama mfanyakazi wa Sir Henry Stanley walisafiri pamoja katika mto Congo kutafuta chanzo cha mto huo lakini kwa bahati mbaya sana mtumbwi aliokuwa amepanda Kalulu ulikumbwa na dhoruba na kupelekea Kalulu kudondoka katika maporomoko ya maji na kufariki dunia na huo ndio ulikuwa mwisho wa kijana Kalulu.
Hivyo maporomoko hayo yalipewa jina la kalulu ili kumuenzi kijana huyu

Nawasilisha
View attachment 1263745View attachment 1263746View attachment 1263747
Very sad indeed!!!!! ,
The young boyn was a slave owned by an arab, was bought by an engishman and became his slave too.
The only difference between the two is that at least he lived in comfort.
 
Kalulu alikuwa ni kijana wa miaka 12 ambaye alinunuliwa kama mtumwa kutoka kwa waarabu huko Zanzibar na mwingereza aitwae Sir Henry Morton Stanley. Mwingereza huyu alikuja kama mpelelezi kwa ajili ya kuipeleleza Afrika na kuiandaa kuja kutawaliwa na wakoloni.

Kijana huyu jina lake halisi alikuwa anaitwa Ndugu Mhali lakini Sir Henry Stanley hakulipenda jina hilo hivyo akambatiza kijana huyo jina akamwita Kalulu.

Hivyo Kalulu alikuwa ni mfanyakazi wa Sir Henry Stanley kati ya miaka ya 1872 mpaka 1873 Kalulu alifanikiwa kuwa mfanyakazi wa karibu wa Sir Henry Stanley walizunguka wote huko mabara ya Amerika na Ulaya.

Sir Henry Stanley alimpeleka shule Kalulu huko Wandsworth, South west London mwalimu wa Kalulu aligundua kuwa Kalulu ni mjanja sana na alikuwa anajifunza vyema lugha ya kiingereza.

Lakini Kalulu hakufanikiwa kusoma kwa muda mrefu shuleni hapo kwasababu ilipo fika mwaka 1874 Dr David Livingstone alifariki akiwa nchini Zambia hivyo Sir Henry Stanley alitakiwa kurudi Afrika kushika nafasi iliyoachwa na Dr Livingstone katika shughuli za upelelezi. Hivyo Sir Henry Stanley alimwachisha shule Kalulu huko london wakarudi Afrika.

Ilipofika mwaka 1877 Kalulu akiwa kama mfanyakazi wa Sir Henry Stanley walisafiri pamoja katika mto Congo kutafuta chanzo cha mto huo lakini kwa bahati mbaya sana mtumbwi aliokuwa amepanda Kalulu ulikumbwa na dhoruba na kupelekea Kalulu kudondoka katika maporomoko ya maji na kufariki dunia na huo ndio ulikuwa mwisho wa kijana Kalulu.
Hivyo maporomoko hayo yalipewa jina la kalulu ili kumuenzi kijana huyu

Nawasilisha
View attachment 1263745View attachment 1263746View attachment 1263747
.
Inaonekana Henry alimsukuma dogo kisa alikuwa anashabikia yangaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kalulu alikuwa ni kijana wa miaka 12 ambaye alinunuliwa kama mtumwa kutoka kwa waarabu huko Zanzibar na mwingereza aitwae Sir Henry Morton Stanley. Mwingereza huyu alikuja kama mpelelezi kwa ajili ya kuipeleleza Afrika na kuiandaa kuja kutawaliwa na wakoloni.

Kijana huyu jina lake halisi alikuwa anaitwa Ndugu Mhali lakini Sir Henry Stanley hakulipenda jina hilo hivyo akambatiza kijana huyo jina akamwita Kalulu.

Hivyo Kalulu alikuwa ni mfanyakazi wa Sir Henry Stanley kati ya miaka ya 1872 mpaka 1873 Kalulu alifanikiwa kuwa mfanyakazi wa karibu wa Sir Henry Stanley walizunguka wote huko mabara ya Amerika na Ulaya.

Sir Henry Stanley alimpeleka shule Kalulu huko Wandsworth, South west London mwalimu wa Kalulu aligundua kuwa Kalulu ni mjanja sana na alikuwa anajifunza vyema lugha ya kiingereza.

Lakini Kalulu hakufanikiwa kusoma kwa muda mrefu shuleni hapo kwasababu ilipo fika mwaka 1874 Dr David Livingstone alifariki akiwa nchini Zambia hivyo Sir Henry Stanley alitakiwa kurudi Afrika kushika nafasi iliyoachwa na Dr Livingstone katika shughuli za upelelezi. Hivyo Sir Henry Stanley alimwachisha shule Kalulu huko london wakarudi Afrika.

Ilipofika mwaka 1877 Kalulu akiwa kama mfanyakazi wa Sir Henry Stanley walisafiri pamoja katika mto Congo kutafuta chanzo cha mto huo lakini kwa bahati mbaya sana mtumbwi aliokuwa amepanda Kalulu ulikumbwa na dhoruba na kupelekea Kalulu kudondoka katika maporomoko ya maji na kufariki dunia na huo ndio ulikuwa mwisho wa kijana Kalulu.
Hivyo maporomoko hayo yalipewa jina la kalulu ili kumuenzi kijana huyu

Nawasilisha
View attachment 1263745View attachment 1263746View attachment 1263747

Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom