Huyu mzee vipi???!!

Huyu mzee vipi???!!

Kama all men are dogs, basi all women are lady dogs.....
 
Wazee wengine bhana wanajivunjia heshima wenyewe, nlikua namuheshimu sana lakn sasa hata nkimuona naskia kichefu chefu, aliyesema "All men ar dogs" hakukosea kabisa, huyu mzee mkubwa kuliko hata baba yangu ukizingatia ni mume wa shangazi yangu, naona anataka kunizoea vibaya, juzi nliamka daku peke yangu wengine walikua hawataki kula, sasa tukawa mimi na yeye dining table mara atake kunilisha mara anichum yani I was shocked hadi nkashindwa la kuongea sinc wen mimi na zee kama huyu tukaecti "kuchkuch"................wazee wengine majangaaaaa

Wewe na huyo mzee ndio mmefunga nini sasa. Au mnaigiza ili muonekane na nyie mko kwenye mfungo. Haiwezekani ikawa ndio mara yenu ya kwanza kufanyiana hiyo mambo. Lazima mtakuwa mmeanza muda mrefu.
 
"All men a Dog" .......... Tafadhali usirukie vitu angani.

nyerere_with_pope_john_paul_ii.jpg

Nimejaribu kutafakari kati ya ulichokisema na picha uliyoiweka. Nimeshindwa kuelewa una maana gani!???
 
Wazee wengine bhana wanajivunjia heshima wenyewe, nlikua namuheshimu sana lakn sasa hata nkimuona naskia kichefu chefu, aliyesema "All men ar dogs" hakukosea kabisa, huyu mzee mkubwa kuliko hata baba yangu ukizingatia ni mume wa shangazi yangu, naona anataka kunizoea vibaya, juzi nliamka daku peke yangu wengine walikua hawataki kula, sasa tukawa mimi na yeye dining table mara atake kunilisha mara anichum yani I was shocked hadi nkashindwa la kuongea sinc wen mimi na zee kama huyu tukaecti "kuchkuch"................wazee wengine majangaaaaa

polee
na wewe kwa nini unakaa kwa shangazi?
au ame notice upweke ulio nao?
umeshapata bf?
 
Wazee wengine bhana wanajivunjia heshima wenyewe, nlikua namuheshimu sana lakn sasa hata nkimuona naskia kichefu chefu, aliyesema "All men ar dogs" hakukosea kabisa, huyu mzee mkubwa kuliko hata baba yangu ukizingatia ni mume wa shangazi yangu, naona anataka kunizoea vibaya, juzi nliamka daku peke yangu wengine walikua hawataki kula, sasa tukawa mimi na yeye dining table mara atake kunilisha mara anichum yani I was shocked hadi nkashindwa la kuongea sinc wen mimi na zee kama huyu tukaecti "kuchkuch"................wazee wengine majangaaaaa


na yeye anajihesabia amefunga?
 
copied:
uzee mwisho chalinze....mzee anatafuta kibanda cha mapumziko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom