- Thread starter
- #21
Angekuwa kijana wala usingesema ila kwakuwa ni mzee ndo umemtolea nje.....
Inaezekana uko sahihi, akinifia kifuani je??? lol
Angekuwa kijana wala usingesema ila kwakuwa ni mzee ndo umemtolea nje.....
Ndiyo maana siku hizi siruhusu mazoea ya ajabu ajabu kwa wanangu hata kama ni ndugu yangu.Watu wamekuwa na ajabu sana.
Wazee wengine bhana wanajivunjia heshima wenyewe, nlikua namuheshimu sana lakn sasa hata nkimuona naskia kichefu chefu, aliyesema "All men ar dogs" hakukosea kabisa, huyu mzee mkubwa kuliko hata baba yangu ukizingatia ni mume wa shangazi yangu, naona anataka kunizoea vibaya, juzi nliamka daku peke yangu wengine walikua hawataki kula, sasa tukawa mimi na yeye dining table mara atake kunilisha mara anichum yani I was shocked hadi nkashindwa la kuongea sinc wen mimi na zee kama huyu tukaecti "kuchkuch"................wazee wengine majangaaaaa
Kukosa haya tuu,
Ni kweli kabisa ulikuwa ujajisitiri na umekuwa na ukarobu nae pasi na shaka, jitunze na jiheshimu
Yaani umeona jamii forum ndiyo sehemu yakuripoti matendo uliyofanyiwa na huyo mzee? Kwani umeshindwa kumwambia shangazi yako? Hata wewe inawezekana ulikuwa unamtega.
Mmmhhh mwenye/kiti , mjini wote hua mnaitwa ma'beibeTupo wachache sana lakini shughuli yetu kama under 30
Yaani umeona jamii forum ndiyo sehemu yakuripoti matendo uliyofanyiwa na huyo mzee? Kwani umeshindwa kumwambia shangazi yako? Hata wewe inawezekana ulikuwa unamtega.
Ndiyo maana siku hizi siruhusu mazoea ya ajabu ajabu kwa wanangu hata kama ni ndugu yangu.Watu wamekuwa na ajabu sana.
Baba V kwani mjini kuna wazee?
Au ni Mwanaume au siyo Mwanaume. Kama ni Mwanaume, basi "All men a Dog."
Nilichotaka kukuambia tu ni kuwa "Usitufunge wanaume wote kwenye kapu moja, si vizuri mwaya." Wengine ni Mashoga.
![]()
Wacha niwe "mwanakijiji" lkn zee kama hili mwache aende, alichelewa kurudi so time alirudi akanikuta alone