Huyu mzee vipi???!!

Huyu mzee vipi???!!

sasa wewe umemka umevaa night dress mtepeto
na unajua usiku ndo mpini unakua active.
unategemea nin,

na kwanini usiende lia daku yako chumbani..


Asee imagination yako ni nzuri, anywe nshaacha kuamka daku
 
Peleka frustration zako huko kama wewe ni mali ungeketi peke yako mezani usiku bila kibajangoro pembeni yako? kakuona majanga ndio mana akaleta majanga

Fafanua hilo neno "kibarajangoro" btw mimi ni mali and I dnt thnk am anythng less!!
 
Duh! si mchezo. Daku hilo la kushika watu wasio kuwa halali kuwashika inakuwaje! Kweli wafungao wachache wengi tunashinda njaa. cnajina usimpe nafasi akuharibie swaumu yako dadaangu.
 
Huna lolote, matangazo tu.
Tumeshajua unamsimamo, japo wenye msimamo wa kweli hawahitaji matangazo.
"all mens are dogs!!?" No, sio kila njano ni yanga

Elimu haina mwisho.
 
Fafanua hilo neno "kibarajangoro" btw mimi ni mali and I dnt thnk am anythng less!!

You may have looks but mentally sick ingefaa sana uitwe MkeJina kwa kukosa kipenzi wa kukaa naye mezani saa kumi usiku
 
Duuuh.....
Kizazi chakavu nacho shida eeeh?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wacha niwe "mwanakijiji" lkn zee kama hili mwache aende, alichelewa kurudi so time alirudi akanikuta alone

We malaya kwa nyumba za watu unatafuta nini? Jenga mji wako kama hutaki kugegedwa, wachumba kama nyinyi mnakaa kwa kutegemea puchu ya ant mtaliwa sana, sasa jiandae kufukuzwa hapo.

Ukikubali kuolewa na Mchawi lazima ujuwe kupika nyama za watu.
 
You may have looks but mentally sick ingefaa sana uitwe MkeJina kwa kukosa kipenzi wa kukaa naye mezani saa kumi usiku



Huhuhuhuhuhu usinifurahishe kwani lazma niwe na mtu kama unavyomaanisha wewe,ndoa ni rizki my dear mungu ndo anapanga kama unamaanisha wa kunitumia umekosoa njia hapa si penyewe
 
We malaya kwa nyumba za watu unatafuta nini? Jenga mji wako kama hutaki kugegedwa, wachumba kama nyinyi mnakaa kwa kutegemea puchu ya ant mtaliwa sana, sasa jiandae kufukuzwa hapo.

Ukikubali kuolewa na Mchawi lazima ujuwe kupika nyama za watu.



Mungu akusamehe, hujui ulisemalo.
 
Huhuhuhuhuhu usinifurahishe kwani lazma niwe na mtu kama unavyomaanisha wewe,ndoa ni rizki my dear mungu ndo anapanga kama unamaanisha wa kunitumia umekosoa njia hapa si penyewe
Wala bwana hafurahii kifo chake yeye afae; ukifa wafa lwako na ukikosa mume wamkosa kivyako mungu hahusiki unachotakiwa ni kuingia kwenye kumi na nane husika kama huingii ni tabu yako. Mpaka hapo hujaelewa kuwa mali au kutokuwa mali ni nini? ni vigezo yakheee wala si muonekano wa kimaumbile
 
Wala bwana hafurahii kifo chake yeye afae; ukifa wafa lwako na ukikosa mume wamkosa kivyako mungu hahusiki unachotakiwa ni kuingia kwenye kumi na nane husika kama huingii ni tabu yako. Mpaka hapo hujaelewa kuwa mali au kutokuwa mali ni nini? ni vigezo yakheee wala si muonekano wa kimaumbile



Mh! Umeeleweka,,,, Ramadhan Kareem!
 
. Mijanaume kwa kutetea ufirauni hata kama hakuwa amejisitiri si sahihi kutongoza mwanao.... Yeye ni Mume wa shangazi mtu anapaswa abehave na amwongoze binti katika maadili yanayofaa, kuna faida gani ya kufunga kama kakaa zipu wazi mfxxxxxoooooooooooooooo hovyoooo hilo janaume lisilo na haya pichu mkononi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom