Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Subiri uone jua linazama halaf watu wamekuvalia miwani ya bati halaf chimpanzee mmoja ajipendeze kuomba penzi uine unyenyekevu wako utakavokuwa wa hali juusina chura lakini huu ujinga sifanyi
Subiri uone jua linazama halaf watu wamekuvalia miwani ya bati halaf chimpanzee mmoja ajipendeze kuomba penzi uine unyenyekevu wako utakavokuwa wa hali juusina chura lakini huu ujinga sifanyi
Mungu anakuona ujue kwan chura anausiana nin na kuleta matumiz jamaniiKweli nakwambia huyu dada atakuwa hana chura...
Mzigo kama wako naachaje kuja nyumbani na mfuko wa mboga
Wachaga ndo zenu,mnaendekeza ubinafsi sana huku mapenzi ya dhati sifuri.Kwahiyo kumuhudumia mpendwa wako unaona amefaidi sana? Je na wewe ukipata janga akakuhudumia utasemaje? Acheni upuuzi wanawake wa namna hii,msiangalie upande wenu tu,hali ni ngumu pande zote na fursa zilizopo ni sawa kwa wote.Nawachukia sana nyie wachaga,sina hamu kabisa.me ningepata uchizi .. any way ajipime kama ataweza sababu me siwezi
Chura inaunganisha mbingu na ardhi ujue...ww kwa sababu unalo huoni matatizo wanayopata wenzioMungu anakuona ujue kwan chura anausiana nin na kuleta matumiz jamanii
Sent using Jamii Forums mobile app
embu tokaaa apaaChura inaunganisha mbingu na ardhi ujue...ww kwa sababu unalo huoni matatizo wanayopata wenzio
Hawa viumbe ni wa ajabu sana aisee.Wadada mnashangaza kweli yaani kutumia vya wanaume kwenu ni halali ila vyenu kutumika ni haramu na povu lina watokaa. Hiyo ndo 50 kwa 50 tunayo itaka mama hangaika mchana usiku jamaa nae ahangaike kukupeleka dubai.
Komaa dada ipo siku utafurahia haya maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha umeenda kujiangalia kwenye kioo ukasema hii kitu inanitesa snYaan nimecheka mno ila wewe!!! ha ha Ba ba
hapana mkuu bora nibaki mwenyewe kuliko mwanaume kama wa mleta madaSubiri uone jua linazama halaf watu wamekuvalia miwani ya bati halaf chimpanzee mmoja ajipendeze kuomba penzi uine unyenyekevu wako utakavokuwa wa hali juu
Ww bisha tu...unaona ulivyokuwa unanikatalia kujib pm zangu namm sikomi nimo tu
Huwez amini hajawahi hata nikaribisha kwake kisa tu anaishi na rafiki yakemmmmm mshkaji naye hata hajishtukii..!!!!
Hebu jaribu kumuomba na yeye leo uakupikie kwake uende ukale, usikie jibu lake, au mwambie tu hata gesi imeisha na hauna pesa, usikie jibu lake litakupa mwanga wa kusonga mbele
Unasema tu....hamna kitu kibaya kama upwekehapana mkuu bora nibaki mwenyewe kuliko mwanaume kama wa mleta mada
kama hilo ndiyo ubinafsi acha niwe hivyo .. nichukue muda nikupikie na bado ninunue chakula mwenyewe ? mfyuuuuuuuuuuuuuuuuu kama upo hivyo hufai hata kwa kuchovyaWachaga ndo zenu,mnaendekeza ubinafsi sana huku mapenzi ya dhati sifuri.Kwahiyo kumuhudumia mpendwa wako unaona amefaidi sana? Je na wewe ukipata janga akakuhudumia utasemaje? Acheni upuuzi wanawake wa namna hii,msiangalie upande wenu tu,hali ni ngumu pande zote na fursa zilizopo ni sawa kwa wote.Nawachukia sana nyie wachaga,sina hamu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali matatu muhimu:Jamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.
Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.
Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana
Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.
Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu
anaishi na mpenzi wake we endelea kuwa mpishi tuHuwez amini hajawahi hata nikaribisha kwake kisa tu anaishi na rafiki yake