Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Hahahah
Usitafute dawa bhana
Mie nimekupenda hivyo hivyo
Sawa, naona huna competition kwa sababu ya huu uwaraza.
Unajisahau sana.
Hahahah
Usitafute dawa bhana
Mie nimekupenda hivyo hivyo
Hakunaga urafiki wa me na keKwani kila mwanaume anaye jaribu kujenge ukaribu na wewe lazima akugegede, acha uzinifu wewe dada. Au fanya kumpa tunda kimasihara aje atiririke kwa uzi wa rickboy.
Nimefika partner 😆
Ujana maji ya moto!Wiki nne tu tayari unalaumu kutokupewa mboro!



Kwamba jamaa ni hamisi 😂😂😂Hanithiii huyoo![]()
Kwamba jamaa ni hamisi 😂😂😂
Njema Don. Mambo yako?
Hawa wanawake wa mjini ni shida sana yani.Malengo yamepishana hapo, mwanaume anataka mpenzi wa muda mrefu, mwanamke anataka mahusiano ya muda mfupi.
Nilishawahi kuachwa eti kisa nachelewa kuomba mzigo.
Noma sana hizi mambo.
Sawa, naona huna competition kwa sababu ya huu uwaraza.
Unajisahau sana.
Hahah lol mabaharia bwnHuyo jamaa ni baharia aliyeiva, siku anakushika mkono ndio sio utachezea hogo tena with your whole consent na hautabisha. Dawa ya mwanamke ni ndogo sana usiwe na haraka nae atakuja mwenyewe.
Hahahahah mie ni kama huyo anaelalamikiwa sema tofauti zetu ni kwamba mie lengo lazma niliseme on the 2nd date. Kisha nakuacha ujiongeze sasa.Tuttyfruity nawapenda wanaume wa dizain hiyo ambao papuchi kwao siyo kipaumbele.
Stick to that man dada acha ujinga 😆 ama unapendelea wale washirika wa Rikiboy?
😂😂😂 subiri Relief aje akupe muongozo.
Mjumbe kama mjumbe naona unaelekea kuchomoa betri na kukata umeme kwa pamoja😅Hawa wanawake wa mjini ni shida sana yani. Kuna kamoja nimekapenda ila maskini hakajui kama mie ni baharia...Kananiletea drama balaa ila nimepanga kukamaliza kwa style ya pekee ambayo itakuwa funzo kwake na kwa kizazi chake!
Wacha kale Chocolates, Ice Cream Vanilla na wine za hapa na pale. Ni kabinti kabichi mno!
Hahahahah kananiona mkolomije kumbe nimeingia kwa style ya kobe...Atafurahi 😂😂😂Mjumbe kama mjumbe naona unaelekea kuchomoa betri na kukata umeme kwa pamoja😅