Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,754
- 5,175
Siku hizi wachumba hutafutwa kwa namna yeyote ile, ukichelewa kutongoza unatongizwa ilimradi una afya njema na unajimudu
Samahani mkuu naomba nikurekebishe kidogo hapo sio " Imra" ni "Imla".Njoo ukague cheti changu uone kipo swafiii kabisaaa, nyie mnataka niandke kwa kufuata aya, kituo imekua imra?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmecheka balaaGhafla mkaoana
Ghafla mkapata watoto
Ghafla mkazeeka
Fungua pm basi scorpio me[emoji5][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmecheka balaa
Katika pita pita zangu za mwezi uliyo isha nilikuwa katika harakati za kufatilia kitambulisho cha NIDA coz mimi ni mtumishi wa serikali, nikakutana na dem sasa ghafla mwenzangu ninae fnya nae kaz akawa amenipgia sim kuniulizia mambo ya kazi na huduma zinazo husu utumishi nikamjibu kumbe yule dem ananisikilizia ghafla jamaa akakata sim nimekaa kama dakika 10 nikawa nimemuomba namba huyo dem coz tulikuwa katika harakati za kutafuta usafiri; ghafla gari likatokea tukapanda ilkuw ni tax ilifika sehem tukaachana, hapo hapo tulianza kuwasiliana na kuanza kuniita mmewang mam@eee. Nikasema sikajiingiza mkenge huyu? Mwisho wa siku nilimuita kwangu na tulikaa nae kama wiki mbili hv bahat nzur nilichukua likizo tukaachana ye akaenda kwao na mm kwetu chakushangaza sasa saiv ananilazimisha niende kwao nikajitambulishe sijui kisa kakuta home kwangu maisha sio magum kiviiiile japo nimagum.
Niishie hapo msije shindwa soma wakuu
Anaweza kuwa mwanamke alikwenda kwenye maombi akaonyeshwa kwamba wewe ndiyo mme wake.Kubali kuomuoa huyo ndiyo malkia wako uliyepewa.Nilimfukunyua sio kitoto sasa mwez mmoja tu naendaje kujitambulisha? Akafie mbele.
Maisha sijui yakoje,unaweza kuwa na ndoto ya kuja kuoa mtu wa aina fulani;ghafla anakuja kutokea mtu ambaye hata hukumfikiria...anakuwa mkeo.Anaweza kuwa mwanamke alikwenda kwenye maombi akaonyeshwa kwamba wewe ndiyo mme wake.Kubali kuomuoa huyo ndiyo malkia wako uliyepewa.
Fungua pm basi scorpio me[emoji5]
Noma sana!Wanawake wengine wanahitaji ndoa sababu ni umri umewapiga mkono sasa kuwa makini
Samahani mkuu naomba nikurekebishe kidogo hapo sio " Imra" ni "Imla".
Nadhani ni kutokana na mdada kukomaa jamaa aende kujitambulisha, coz ninahisi hivyoKWA HIYO ULIKUWA UNATAKA USHAURI GANI MKUU???
Mm n wa Thursday baba[emoji41][emoji41]UEFA mtapgwa nyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijana wameharbu uz[emoji16][emoji16]Rudi uone saiv mambo yameharibika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
M pesa is available any country[emoji23][emoji23][emoji23] tz to kenya which is which?