Huyu mwanamke sijamuelewa bado

Huyu mwanamke sijamuelewa bado

[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
Anajua kozi katika pitapita alkuta mkeka nmeu screen short alafu nilikuwa nmepgwa laki mbili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kapicha basi mkuu tukupe maksi hata kwa mgongoni tuone ulipanda mlima au uliteremka tuu
 
Ushauri wangu mkuu ni huu "Sio kila mwanamke anapokukubalia kirahisi ni malaya, na yawezekana kabisa hata hyo simu haihusiki, kama wewe ulivyotaka namba huwez jua either alikwishakuvutiwa na wewe au la, kuomba namba yawezekana kuliweza kumrahisishia yeye pia, kwa desturi ya kiafrica mwanamke kumtongoza mwanaume ni ngumu sana msingi akili kichwani".
 
Baba huku mtaani mambo magumu dem akija kwako akaona kuna dalili ya milo 3 na flat-screen kesho anaanza kuja ka kanguo kamoja kamoja keaho begi kesho kutwa mashemeji

Mabaria ntakupeleka kwa msela wangu kesho ukirudi unakuta kufuli na blacklist juu
 
Baba huku mtaani mambo magumu dem akija kwako akaona kuna dalili ya milo 3 na flat-screen kesho anaanza kuja ka kanguo kamoja kamoja keaho begi kesho kutwa mashemeji

Mabaria ntakupeleka kwa msela wangu kesho ukirudi unakuta kufuli na blacklist juu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ndicho alicho kikuta et anajifanya kunijaaali lakin kilicho nifanya nim blacklist huyu dem anapga mizinga kila kukicha mara hela ya lotion mara sijui anaumwa nimtumie hela nikimwambia wazazi siuwaambie? Ananiambia oooh mama katuma hela kwa mdogo wangu hvyo hana hela saivi [emoji16][emoji16][emoji16] ndipo nilipo shusha blacklist ya hatari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Anatuma tu sms nazionaaaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ndicho alicho kikuta et anajifanya kunijaaali lakin kilicho nifanya nim blacklist huyu dem anapga mizinga kila kukicha mara hela ya lotion mara sijui anaumwa nimtumie hela nikimwambia wazazi siuwaambie? Ananiambia oooh mama katuma hela kwa mdogo wangu hvyo hana hela saivi [emoji16][emoji16][emoji16] ndipo nilipo shusha blacklist ya hatari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Anatuma tu sms nazionaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si ubet upate hela mzee umpee[emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom