Huyu mwanamke sijamuelewa bado

Huyu mwanamke sijamuelewa bado

GHAFLA nimeshindwa kuuelewa huu uzi!
GHAFLA nimekumbuka ni mtumishi wa umma
GHAFLA nawaza anavyohudumu kazini

Ila mwishoni

GHAFLA demu kaona huyu ni mzee wa ghala ghafla acha na mm nimpeleke ghafla kwa wazee. Ndo ivo tu mkuu!

Ghalfa namuona Kiduku Lilo acha nikamuombe lift kwenye ile Range rover pana, leo hayuko na ile VW
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom