mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,734
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]GHAFLA nimeshindwa kuuelewa huu uzi!
GHAFLA nimekumbuka ni mtumishi wa umma
GHAFLA nawaza anavyohudumu kazini
Ila mwishoni
GHAFLA demu kaona huyu ni mzee wa ghala ghafla acha na mm nimpeleke ghafla kwa wazee. Ndo ivo tu mkuu!
Ghalfa namuona Kiduku Lilo acha nikamuombe lift kwenye ile Range rover pana, leo hayuko na ile VW