😂😂😂 Kule watu mna gundu sana siku hizi.Vp mkuu sikuiz umeacha kubet? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana hupatkan kule
wewe unatakiwa ufukuzwe Kazi na utandikwe viboko hadhari iwe fundishoAcha ujuaji mkuu unajiona umeelimika et? Hzo ni bangi aisee.
Nimemwambia hvyo kuwa ni mapema sana kashindwa kunielewa na ananilaum kuwa simpend nimwambie tu kama simpend kuliko kumpotezea mda it means kwamb anataka ku force mambo unaweza oa mdangaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Mwambie ni mapema sana mkae muda kwanza mfahamiane vizuri.
Husimjibu vibaya ataelewa.
Kuniita mme alianza mara baada ya kubadilishana namba ndugu. Sio tulivyo ishi noooo.Sasa unalialia nini?
- Unajua kwa mujibu wa sheria ya ndoa kukaa na mwanamke nyumbani kwako kwa muda fulani sheria itawatambua kama mume na mke hata bila harusi??
- sasa wewe umekaa na mtu nyumbani kwako wiki2 alafu unashangaa akikuita mume wake,, aisee vijana kuweni serious na maisha yenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Si umdange kanji mzee Upate mahariiiNimemwambia hvyo kuwa ni mapema sana kashindwa kunielewa na ananilaum kuwa simpend nimwambie tu kama simpend kuliko kumpotezea mda it means kwamb anataka ku force mambo unaweza oa mdangaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
kama serikali ina ajiri mtu wa hovyo kama wewe ni haki tuendelee kubaki masikini.
Wanawake wengine wanahitaji ndoa sababu ni umri umewapiga mkono sasa kuwa makini
Umekaa naye week mbili unamfukunyua sasa kubali matokeo. Huyo mkeo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini hukumwambia aache kukuita?Kuniita mme alianza mara baada ya kubadilishana namba ndugu. Sio tulivyo ishi noooo.