Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,502
- 3,524
Wanawake hamna huruma kabisaJipe muda, mpe na yeye muda, naamini muda ukifika atafungua moyo wake atakusikiliza tena, wanawake wakati mwingine tukikasirika jambo huwa tunaweka distance ila hasira zikiisha mambo yanakua sawa
Ila hiyo itatoke tu kama nae anakupenda, kama hana upendo wa dhati na wewe, accept the reality and let it go
You're blue-pilled simp, you seriously need a red pill and live in reality.Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.
Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.
Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my achievement I won't give up on you
Probably ni ki-first year hiki na sidhani kama kina zaidi ya miaka 21 hapa duniani.Boss,How old are you?
Na bado utachapwa mpaka UnyeWakuu kutumiana nyimbo sio kitu kizuri kabisa kwenye mapenzi nyimbo zimekua fimbo kunichapia
Nina mashaka jinsia yako au umri wako..Wakuu kutumiana nyimbo sio kitu kizuri kabisa kwenye mapenzi nyimbo zimekua fimbo kunichapia
Bravo 1 we need back up,.Man down; I repeat man down. Alpha do you copy? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bravo 1 we need back up,.
Spartan one,I repeat we got no eyes,your on your own.Spartan 01, Spartan 01 Radio check how do you copy
Spartan one,I repeat we got no eyes,your on your own.
Saint Anne na Karma. Mlikuwa mnajua kuwa Lizarazu alisharudi halafu hakuna aliyesema kitu?Probably ni ki-first year hiki na sidhani kama kina zaidi ya miaka 21 hapa duniani.
Leo mafurushi yamekuwa matamu tena? Maajabu hayatakoma hapa duniani [emoji51][emoji51][emoji51]
Mkuu...Sina vidoti vyeupe reception...utakuwa umenifananisha..Tatizo la kitambi chako hicho ni ile mijivyuku, nilikukuta unanunua pale majengo na vidoti vyako flani vyeupe hapo reception...[emoji847][emoji847]
Tulishawasiliana naye kabla hujamuona.Saint Anne na Karma. Mlikuwa mnajua kuwa Lizarazu alisharudi halafu hakuna aliyesema kitu?
Mkuu za kupotea?
Huna haja ya kufanya ubaya wowote.Mapenzi ni siraha ya kunibadirishia mtu mbaya kua mzuri. Naona yananipeleka kua mtu mwingine kabisa ambae sijafikiria kua
[emoji23][emoji23][emoji23]...Jamani Mimi kufanana na baba mbona kheri Sana..Baba Yangu alikua mzuri Sana wa sura na Tabia..(Mwenyezi Mungu amuwei Radhi baba jangu)We nae na shungi lako si umpee moyo wako mwenzio.
Ndo maana unafanana na baba.