Huyu mwanajeshi ananichanganya

Huyu mwanajeshi ananichanganya

Habari wana MMU

Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.

Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.

Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu

Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu

loyda una miaka mingapi, nadhani haujavuka 23!!!! Mawazo yangu ni haya....... wewe ni limbukeni usiye na msimamo haufai kuwa mke, .................mvulie kufuri uone kama taendelea kukujali,..........haufai kuwa mke na ni bora itokee huyo mchumba wako akupige chini,......

All in all mwamuzi ni wewe, ikiwa maisha kwako wewe ni kujaliwa tu, basi poa, mjeshi wa kizenji anakufaa, atakujali hadi kukubonyeza kizenji.

Naona giza mbele na hizi mambo
 
Last edited by a moderator:
Sisi wanaume tunapoifukuzia papuchi......hata ukininasa kibao nachekelea tu....tena nakuambia baby ongeza vibao vyako vitamu.........
 
Usidharau Mia MBOVU kwa ajili ya HAMSINI iliyo nzima. Plse take care!
 
Akili za wanawake wengine ni tabu tubu... Mzenji? Ngoja uliwe kibogga...
 
Ndio walivyo......wenzetu wameathiriwa na mifumo...ya makambini...ambapo ni mwendo wa amri tu......

mkuu hakuna watu wanaoonewa na wake zao kama maaskri.
Kuna wengne wananaswa vibao na wake zao lakn ukiwakuta kzn bonge la makamanda
 
Mwanamke ni zaidi ya umjuavyo unataka kumuacha mpenzi wako kisa mzanz bar
 
Habari wana MMU

Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.

Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.

Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu

Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu

Na hili nalo unataka tukushauri dada yangu mpendwa?mbona unatupa kazi sana wakati kuna mambo ya msingi kujadili ili tupate nchi yenye maridhiano na sio kulazimishana.
Kwa hili huoni kuwa kuna siku utataka tukushauri ni nguo ya ndani aina gani au rangi gani uvae ili utoke kwenda kwa huyo mwanajeshi wako?
Maamuzi mengine hayahitaji ushauri.
 
Mkuu wengine walishapanga vile wanataka harusi yao iwe + kugoogle engagment ring wanayoitaka hahahaaa mtu unacheki simu kwa picha ni rings zimejaa unauliza kulikoni... Ati anachagua ipi ni new model and unique apate kuitengeneza ..... Chezea mwanaume wew kumbe ana mke wake huko alikotoka kwa huyu binti alikuwa anapiga mambo tyu hahahaaaa ni shidaaaa huku kujali huku tunakuogopa

mwaka huu watu watanyolewa sana
 
habari wana mmu

msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.

Mpe amege kwanza.. Afu utajua

mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.

Anaonesha anajali kuliko mchumba wangu

hapa nipo njia panda
nipeni mawazo yenu wakuu

mpe amege kwanza afu utajua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom