Huyu mwanajeshi ananichanganya

Huyu mwanajeshi ananichanganya

Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute
ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi
mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda
sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad
nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi
nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu

kitendo cha kuskia tu "mwanzajesh" tumbo linauma
 
Hivi,,, huyo boi wako wa sasa ambaye ni mjeda, na yule mwingine wa kitambo.oo, yupi umempenda na yupi ume mtamani!??

Samahani lkn, nataka kujua ili nikusaidie!
 
Yaan mwezi 1 tu umegundua kuwa anakujari kuliko wazamani.! kivipi? kipesa au kupigiwa sim kila mara au anakupatia vipesa(ofa) vingi au.? wee lazima utakuwa upo kipesa zaidi. vinginevyo useme anakujar kivp
 
... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
[h=3]Nimeshuhudia shem akisaliti[/h] Started by loyda, 6th July 2014 15:45
[h=3]Nifanyeje kuhusu ili?[/h] Started by loyda, 8th July 2014 18:37

[h=3]Hii ipoje wapendwa[/h] Started by loyda, 23rd July 2014 09:01

[h=3]Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika[/h] Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
[h=3]Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?[/h] Started by loyda, 15th October 2014 16:54
[h=3]Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu[/h] Started by loyda, 28th October 2014 13:06

huyu loyda kilaza kweli
 
Last edited by a moderator:
kwenya BLUU: Its very interesting story kwamba usiku hulali while kwa sasa unajivuta kuamka..

Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang

mimi nipo njia panda Himo/Moshi wewe ya wapi

Hapa nipo njia panda

Nipeni mawazo yenu wakuu
 
Hapa ndio wengi tunapotea, sio kwenye uchumba tu bali hata kwenye maisha kwa ujumla. Tunashindwa kutofautisha Mawingu na Mvua......
 
Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu

chagua moja dada
 
Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu

kumbuka kuwa "Kuchamba kwingi , mwisho utajipiga kidole cha m......ndu"
 
kama unamchumba huyo mjeda tupa kule kwani mjeda ndo nini ati??
Mwambie uko in pair akatafute aliye single, ukiendekeza tabia za kubadilisha maamuzi yako kwa sababu za kitoto maisha yako yote utakua hivyo.
Huyo mjeda unaona anajali kwa sababu anatafuta nafasi kwa sababu ashajua una mtu lazima afanye lolote ili akishakukamata ndo utajua rangi yake halisi.
Jiangalie sana na hizo hisia zako wewe.
 
haahhh haaaaahhh...., mabinti wa ki leooooo..!!
 
Huyo mchumba wako naye umekaa nae muda gani? Hapo kwenye red, ndani ya mwezi 'ameshakupagawisha?' Nina uhakika ukiwa na huyo mzenji, atatokezea dume lingine na 'atakujali' zaidi ya huyu mzenji. Utafanyaje? Eidha haujitambui bado una yale mambo ya puppy love au una bahatisha bahatisha. Kuwa na msimamo na mapenzi ya kweli hayapimwi ndani ya mwezi.

Inawezekana nikawa siuamin moyo wangu kwa hili otherwise asante kwa ushauri
 
lazima siku mbili hizi uanze kumpenda sikakutamkiq kukuoa. hiyo ni kawaida ya mwanaume yeyote ukimsumbua kidogo anakuja ja wazo atakuoa anaanza kabisa kuchagua ukumbi wa harusi hoteli ya honeeeeemun mpe mzigo hata ukimuita mpenz atakujibu we dada usiseme hivyo mke/mchumba wangu akiina huzi sms zako utaniharibia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom