Mrsme
Senior Member
- May 8, 2022
- 145
- 344
Episode 1.
Nikiwa bado binti mdogo ambae hata bado sikua nimewahi kushare kitanda na mwanaume, nilikua nipo form five nikiwa likizo nilikua napenda kwenda library ya mkoa pale dodoma kujisomea na rafiki angu (carin), siku moja tukiwa tunatoka kujisomea carin alikua na appointment na rafiki ake (Rah), wakati tunatoka pale library kwa mbali nikamuona mkaka handsome nae akiwa ananiangalia sana (tunaangaliana) lakini pemben alikua yuko na mdada, kumbe yule mdada alikua rah na huyo kaka n boyfriend wake.
Huku nikiwa bado tunatazamana had tulivowakaribia ndo nikaona wanapungiana mikono nikasema ndo hawa kumbe, basi tukasilimiana na kutambulishana hapo, ikabid mimi nifanye kuaga maana sikua na story nao lakin pia nipate nafas ya kumuwaza yule mkaka. Kiukwel siku ile nipo kwenye haice namuwaza sana yule kaka nikikumbuka alivo handsome yan ndo mawazo yanazidi zaidi. ugonjwa wangu mimi ulikuaga wanaume warefu, weusi , sasa yule akawa kaongezea na sura yake ilikua nzuri ndo nilizd kuchanganyikiwa.
Basi zikapita kama siku kadhaa huku bado likizo inaendelea, na kujisomea kama kawaida, sasa wakat tunatoka library carin akanambia zack anataka tukahang out nae leo kwahyo amesema tumsubiri nyerere square pale, kipind hiko ndo sehemu maarafu ya watu kukutana n hapo, huku nikiwa namsubiri kwa hamu nimuone kwa mara ingine tena, nikawa naangaza huku na kule nione anatokea upande gani, kwa mbali nikamuona anakuja, alivofika tuu akakaa katikati yetu. Tukasalimiana na kupiga story ila kuna mda carin alinyanyuka kwenda kufata maji , ndipo zack akaomba namba yangu kwa haraka sana nikampatia, hatukukaa square pale mda mrefu tukaondoka.
Nimefika tuu nyumban nikakuta kanitext na akitaka kujua account yangu ya facebook ili apate picha zangu, na mm nikamuomba yake. Tukawa tunachat meng na kusifiana sana. Siku iliyofata akaomba nisiongozane na carin yan niachane nae mapema then tukutane zuni ( kwa wa dodoma wanapajua) tukakutana pale lakin hakua na hela ya kuagiza chochote , nikaagiza juice mbili za ukwaju zilikua , tukakaa tunakunywa huku tukipiga story za hapa na pale, mara tusifiane una mikono mizur cjui nimeipenda bracelet yako tukabadilishana.
Mazoea yakazd sana, tukawa tunaongozana sana pamoja. Kuna siku tukawa tumekutana sehemu flan tulivu tukiwa wenyewe tuu sehemu ile akawa kanisogelea kwa karibu sana, akanishika na kunipa kiss moja la hatar ,tulipiga romance kama dakika 15 hv, tulikuja kushtuka baada ya simu yake kupigwa. Alikua na appointment mahali, tukaanza safar ya kuondoka lakini tukiwa njian nikamuuliza " hv mfano Rah akitokea hapa utafanyaje na tumeshikana mikono hivi, na yy akaniuliza kend akitokea utafanya nn?" Tukabak tunacheka tuu
Ngoja nirud nyuma kidogo, kabla ya kukutana na zack nilikua na mpnz anaitwa Kendrick, lakin huyo alikua tuu wa kuitana mchumba mchumba na kukisiana lakin hakuwa amewah kunif**k. Alikua ni jiran yangu tulikua tunashare fanc moja yani na nilianzaga nae mahusiano nikiwa form three, huku bado nikiwa shule nina mpnz mwingine (G) nae pia hata kukiss hatukuwah. Lakin wakati nipo form four niliachana na G kwasababu ya mtu mwingine tena alikua amehamia form four. Ilikua n asubuh zamu yangu kufagia darasa , wakat niko busy nafagia zangu akaingia mkaka mzur sana alikua na karang flan hiv sio mweupe wala mweusi. Tukakutana macho kwa macho akaniuliza " hii ndo form four A?" Nikamjibu ndio, akauliza mahali ambapo anaweza kupata nafas akae.
Nikamwambia after assemble utajua tuu, bas akaondoka , sasa mm nikarud kumuadisia rafk angu kwamba kuna new comer handsome bala a, after assemble class teacher akaja kumtambulisha na kumpatia sehemu ya kukaa, bas baada ya muda nikasikiaga anatoka na mdada na huyo dada ndo alianza kumtongoza , lakin huku nyuma huyo kaka alikua anawaambia wenzie kwamba alinipenda mm tangu siku ameniona, ikafika muda akazinguanaga na yule mdada akajaga kwangu na mm that time nilikua bado nipo na G , ila niliposikia ananipenda mm G nikampiga chini kwa kumsingizia kuwa nilimuona na mtu flan usiku wanakumbatiana( hahaah utoto bhn!).
Bas nikaanza mahusiano na B, kwakua alikua mzur bas wadada weng walikua wakijipendekeza kwake na yeye hawaachi salama. Tukirud likizo unasikia tuu B kamla nan na nan, lakn mm hapo hapa kiss la mkonon sikuwah kupewa coz nilikua kwanza muoga sana especially kwenye mambo ya mahusiano so hata akinambia tuongozane usiku had library tunakosomea nilikua nikikataa , so alikua anawafata wale cheap, siku niliyokuja kujua kuwa B n mtoto wa mbunge flan hivi wakati huo nilishangaa sana na hakua amewahi kunambia chchte. Na watu wakaanza kujua so ndo umaarufu wake ukaongezeka na wasichana akawa anawagonga sana, nilikua naumia snaaa coz nilikuwa nampenda mnooo, Bas hadi kufikia kumaliza form four tukawa tumeachana kabisaa.
Inaendelea...
Nikiwa bado binti mdogo ambae hata bado sikua nimewahi kushare kitanda na mwanaume, nilikua nipo form five nikiwa likizo nilikua napenda kwenda library ya mkoa pale dodoma kujisomea na rafiki angu (carin), siku moja tukiwa tunatoka kujisomea carin alikua na appointment na rafiki ake (Rah), wakati tunatoka pale library kwa mbali nikamuona mkaka handsome nae akiwa ananiangalia sana (tunaangaliana) lakini pemben alikua yuko na mdada, kumbe yule mdada alikua rah na huyo kaka n boyfriend wake.
Huku nikiwa bado tunatazamana had tulivowakaribia ndo nikaona wanapungiana mikono nikasema ndo hawa kumbe, basi tukasilimiana na kutambulishana hapo, ikabid mimi nifanye kuaga maana sikua na story nao lakin pia nipate nafas ya kumuwaza yule mkaka. Kiukwel siku ile nipo kwenye haice namuwaza sana yule kaka nikikumbuka alivo handsome yan ndo mawazo yanazidi zaidi. ugonjwa wangu mimi ulikuaga wanaume warefu, weusi , sasa yule akawa kaongezea na sura yake ilikua nzuri ndo nilizd kuchanganyikiwa.
Basi zikapita kama siku kadhaa huku bado likizo inaendelea, na kujisomea kama kawaida, sasa wakat tunatoka library carin akanambia zack anataka tukahang out nae leo kwahyo amesema tumsubiri nyerere square pale, kipind hiko ndo sehemu maarafu ya watu kukutana n hapo, huku nikiwa namsubiri kwa hamu nimuone kwa mara ingine tena, nikawa naangaza huku na kule nione anatokea upande gani, kwa mbali nikamuona anakuja, alivofika tuu akakaa katikati yetu. Tukasalimiana na kupiga story ila kuna mda carin alinyanyuka kwenda kufata maji , ndipo zack akaomba namba yangu kwa haraka sana nikampatia, hatukukaa square pale mda mrefu tukaondoka.
Nimefika tuu nyumban nikakuta kanitext na akitaka kujua account yangu ya facebook ili apate picha zangu, na mm nikamuomba yake. Tukawa tunachat meng na kusifiana sana. Siku iliyofata akaomba nisiongozane na carin yan niachane nae mapema then tukutane zuni ( kwa wa dodoma wanapajua) tukakutana pale lakin hakua na hela ya kuagiza chochote , nikaagiza juice mbili za ukwaju zilikua , tukakaa tunakunywa huku tukipiga story za hapa na pale, mara tusifiane una mikono mizur cjui nimeipenda bracelet yako tukabadilishana.
Mazoea yakazd sana, tukawa tunaongozana sana pamoja. Kuna siku tukawa tumekutana sehemu flan tulivu tukiwa wenyewe tuu sehemu ile akawa kanisogelea kwa karibu sana, akanishika na kunipa kiss moja la hatar ,tulipiga romance kama dakika 15 hv, tulikuja kushtuka baada ya simu yake kupigwa. Alikua na appointment mahali, tukaanza safar ya kuondoka lakini tukiwa njian nikamuuliza " hv mfano Rah akitokea hapa utafanyaje na tumeshikana mikono hivi, na yy akaniuliza kend akitokea utafanya nn?" Tukabak tunacheka tuu
Ngoja nirud nyuma kidogo, kabla ya kukutana na zack nilikua na mpnz anaitwa Kendrick, lakin huyo alikua tuu wa kuitana mchumba mchumba na kukisiana lakin hakuwa amewah kunif**k. Alikua ni jiran yangu tulikua tunashare fanc moja yani na nilianzaga nae mahusiano nikiwa form three, huku bado nikiwa shule nina mpnz mwingine (G) nae pia hata kukiss hatukuwah. Lakin wakati nipo form four niliachana na G kwasababu ya mtu mwingine tena alikua amehamia form four. Ilikua n asubuh zamu yangu kufagia darasa , wakat niko busy nafagia zangu akaingia mkaka mzur sana alikua na karang flan hiv sio mweupe wala mweusi. Tukakutana macho kwa macho akaniuliza " hii ndo form four A?" Nikamjibu ndio, akauliza mahali ambapo anaweza kupata nafas akae.
Nikamwambia after assemble utajua tuu, bas akaondoka , sasa mm nikarud kumuadisia rafk angu kwamba kuna new comer handsome bala a, after assemble class teacher akaja kumtambulisha na kumpatia sehemu ya kukaa, bas baada ya muda nikasikiaga anatoka na mdada na huyo dada ndo alianza kumtongoza , lakin huku nyuma huyo kaka alikua anawaambia wenzie kwamba alinipenda mm tangu siku ameniona, ikafika muda akazinguanaga na yule mdada akajaga kwangu na mm that time nilikua bado nipo na G , ila niliposikia ananipenda mm G nikampiga chini kwa kumsingizia kuwa nilimuona na mtu flan usiku wanakumbatiana( hahaah utoto bhn!).
Bas nikaanza mahusiano na B, kwakua alikua mzur bas wadada weng walikua wakijipendekeza kwake na yeye hawaachi salama. Tukirud likizo unasikia tuu B kamla nan na nan, lakn mm hapo hapa kiss la mkonon sikuwah kupewa coz nilikua kwanza muoga sana especially kwenye mambo ya mahusiano so hata akinambia tuongozane usiku had library tunakosomea nilikua nikikataa , so alikua anawafata wale cheap, siku niliyokuja kujua kuwa B n mtoto wa mbunge flan hivi wakati huo nilishangaa sana na hakua amewahi kunambia chchte. Na watu wakaanza kujua so ndo umaarufu wake ukaongezeka na wasichana akawa anawagonga sana, nilikua naumia snaaa coz nilikuwa nampenda mnooo, Bas hadi kufikia kumaliza form four tukawa tumeachana kabisaa.
Inaendelea...