MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
mwaka huu watu watanyolewa sana
Ndio hivyo na wasipate kitu
mwaka huu watu watanyolewa sana
Mkuu unasema kweliii.....??
Inwezekana mkuu....hahahaa! Usiwaone wanavyotembea kikakamavu.
Sio wote lakn ila % kubwa wanaonewa sana...
Hakuna mtu mgum kwenye papuchi mkuu.
Hebu msome historia ya Adolf Hitler na ubabe wake lakn kwenye papuchi alikuwa kiazi tu
Soja boy.....
...Telling so ............... Youuuuuuuuuuuuuu!!
Inwezekana mkuu....
Huyu loyda ninaona ana kaugonjwa cha kujielewa au utoto unamsumbua maana ukisoma thread zake zote unaona anaomba ushauri kwa mambo ambayo anaweza kufanya mwenyewe....
Pia ndani ya miezi 3 tu kashaongelea wanaume watatu tofauti ambapo kuna mbabu aliyempa laki 3 (akaliwa nae kwa gia ya ulokole) saa hivi tena soon ataliwa na mpemba... Sijajua kama huyo mchumba anayemzungumzia sasa ndio yule yule wa mwezi wa 8 wakati analiwa na yule babu wa miaka 55+ yrs
kuna wengne mpaka wanapigishwa deki na wake zao.
Na ukiona yale makatili na yaliyo serious ndio hayohayo
Meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...!!!!!!....amazing.....
Simaanishi wewe! Kuna wimbo dogo mmoja wa USA ni rapper anaitwa soja boy telling so, ana wimbo wake mmoja huwa anapenda ongezea neno 'youuuuuuuuuuuuuuu'! Sasa mimi nimeona hapo, nikaendelea na wimbo wake!
mhh..nawe mnoko...una mikumbukumbu,aaarrgghhh!!!anajali kuliko yule mchumba aliekuwa anakupa lift ya kazini kwenda na kurudi ? ama kweli kipya kinyemi
Nilijua tayari nimedondokewa.....
Mweeeeee mie mekudondokea wallah lol
Mweee sema haki ya MUNGU.......masikhara mengine haya ya kutiana presha na mashinikizo ya damu yasiyo na tiba.......
Hahahah haki yangu vile rimoyo rangu rimekudondokea
hahahah haki yangu vile rimoyo rangu rimekudondokea
Hahahaaaaa tushajua zamani sana hii kitu