Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
Raha sana
kupendwa raha jamani.....yaani hapa nilipo mpaka mwili una vibrate.......
kupendwa raha jamani.....yaani hapa nilipo mpaka mwili una vibrate.......
Mkuu mshana jr njoo...ushuudie nduguyo nimeokota embe dodo kwenye mpera...Raha sana
Mkuu mshana jr njoo...ushuudie nduguyo nimeokota embe dodo kwenye mpera...
Huyu ana tu enjoy yy kila siku visa tu... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
[h=3]Nimeshuhudia shem akisaliti[/h] Started by loyda, 6th July 2014 15:45
[h=3]Nifanyeje kuhusu ili?[/h] Started by loyda, 8th July 2014 18:37
[h=3]Hii ipoje wapendwa[/h] Started by loyda, 23rd July 2014 09:01
[h=3]Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika[/h] Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
[h=3]Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?[/h] Started by loyda, 15th October 2014 16:54
[h=3]Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu[/h] Started by loyda, 28th October 2014 13:06
Ahaaaaa.....mrembo mbona tena unauzima na kuuwasha moyo wangu kama kibatari kilichoisha mafuta jamaniiiiiiii.........Hahahahah ufai wewe yaani unamuita hadi kaka yangu me I hate you
Ndio unataka kusema mtu kama mzee wa intelejensia anaweza kuwa midaa hii anapiga deki mjengoni
Hahahaa!
Unawajua tabia za jwtz,polisi,nurse?
Tena kama ni mzenj jiandae kabisa kuzibuliwa choo
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Ameshakuchomea Jadu huyo, sio akili yako....
Jadu ni nini mkuu