Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Mkuu kwanini unatoa siri zetu wanaume hadharani hivi?
heheheee
Mkuu kwanini unatoa siri zetu wanaume hadharani hivi?
hawa watu bhana wapo kwaajili ya kutoa huduma ya kimwili kwa wagonjwa.
Jinsi anavyokuwa na huruma kwa mgonjwa wake ndivyo hvyo anavyokuwa na huruma kwa mwanaume anayemtaka.
Japo sio wote lakin wengi mazingira yanawashawishi. Nurse hawezi kuchomoka kutoka kwa watu hawa.
. Doctor
. Wagonjwa wakwale
. Wanaouguza wagonjwa wao, hawa hutumia ule mwanya wa kumweka nurse karibu na mgonjwa wake na kumpa virushwa vidogo hapo nurse lazma atoe namba ya sim.
Sio kwamba naongea tetesi ila nina uhakika na ninachoongea. Nurse na baamed hakuna utofauti
MBNA unanchukulia poa msee? Kama huna ushauri syo lazma uandike upmbav wako hapa sipo after money nda ulivyokariri am taking about relationship!
Muulize kama yuko tayari kuwa Mtanganyika
"Anaonesha anajari"
Sisi wanaume huwa tunajua sana kujari kabla ya kupata yale mambo yetu. We mpe tu ndio utajua kati yake na huyo wa sasa hivi nani anajua "kujari"
Mkuu kwanini unatoa siri zetu wanaume hadharani hivi?
... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
Nimeshuhudia shem akisaliti
Started by loyda, 6th July 2014 15:45
Nifanyeje kuhusu ili?
Started by loyda, 8th July 2014 18:37
Hii ipoje wapendwa
Started by loyda, 23rd July 2014 09:01
Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika
Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?
Started by loyda, 15th October 2014 16:54
Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu
Started by loyda, 28th October 2014 13:06
kitendo cha kuskia tu "mwanzajesh" tumbo linauma
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Endelea kuwaza utapata majibu sahihi
Naunga mkono kabisaaaa. Hii ni kutokana na jamaa yangu, alilazwa na nilikuwa naenda muona na kumpelekea chakula. Katongoza manesi wawili na kagonga kwa mida tofauti baada ya kutoka. Sijajua kwa hosptali zingine iko vipi, ila ninahisi ni hospitali nyingi tu mwendo ndo huu.
lazima siku mbili hizi uanze kumpenda sikakutamkiq kukuoa. hiyo ni kawaida ya mwanaume yeyote ukimsumbua kidogo anakuja ja wazo atakuoa anaanza kabisa kuchagua ukumbi wa harusi hoteli ya honeeeeemun mpe mzigo hata ukimuita mpenz atakujibu we dada usiseme hivyo mke/mchumba wangu akiina huzi sms zako utaniharibia
Mkuu wengine walishapanga vile wanataka harusi yao iwe + kugoogle engagment ring wanayoitaka hahahaaa mtu unacheki simu kwa picha ni rings zimejaa unauliza kulikoni... Ati anachagua ipi ni new model and unique apate kuitengeneza ..... Chezea mwanaume wew kumbe ana mke wake huko alikotoka kwa huyu binti alikuwa anapiga mambo tyu hahahaaaa ni shidaaaa huku kujali huku tunakuogopa
kwanza mwanaume anayekutongoza nakusema anakuoa ujue hamaanishi 200% huwa anakutongoza muwe wapenzi kwanza ndo alete mada zakuoana akisha jiridhishq na tabiq zako ina maana mtoa mada hili hulijui au una hamu yakudanganywa nawewe uweke historia au
Soja boy.....
Habari wana MMU
Msishangae naandika nini hapa bado nipo kitandani najivuta kuamka nikatafute ulaji Lakini usiku wangu haukuwa mzuri kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae ni kama mwezi kiukweli nikwamba anadai ananipenda sana lakini nilimwambia nina mchumba anadai yupo tayari kwa lolote ili mradi nije kuwa mkewe.
Mwanzo sikuwa hata na mawazo naye ila siku mbili hizi nmejikuta nampenda sana hata usiku silali namuwaza hadi basi.
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wangu
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Yani mpaka hapo ulipofika inaonyesha wazi akiliyako niyakushikiwa,humpendi huyo ulokua nae wala humpendi huyo Mzanzibari,hujui kupenda wala hujui thamani ya anaekupenda,unakosa usingizi kwa maneno tuuuu? weka akili yako sawa mrembo sio kila anae kutongoza sio kua anakupenda...