Huyu mwanajeshi ananichanganya

Huyu mwanajeshi ananichanganya

Kwanza hujatupa mrejesho wa yule mtu mzima aliekuhonga hela ulirudisha chenchi au ukaila???
 
MBNA unanchukulia poa msee? Kama huna ushauri syo lazma uandike upmbav wako hapa sipo after money kama ulivyokariri am taking about relationship!

Loyda tulia dawa ikuingie ili ukidanganyika usije kusema jf haijakushauri, ukitaka kujuta mpe huyo mjeda nafasi unayedhani anajali ndo utajua rangi yake halisi, kua na msimamo usidanganyike na trick za wanaume sisi ni noma sana don't try this at home.
 
Natamani nikujib Lkn acha nipotezee

kabla hujanijibu mm hebu kajibu upelelezi wa mweshimiwa Tyta na utuambia hao wachumba unaoomba msaada kila siku ni yupi ni sahihi kwako kama sio kilaza ww?
 
Last edited by a moderator:
......Daah! ndo maana zamani nilikuwa nawakosa sana wasichana kutokana na kutojua kudanganya. Huyo Mjeda lazima akupate, anaonekana ni mtundu mno wa uongo na mawazo yako umeyaegemeza kwenye kudanganywa danganywa.
 
loyda mie nadhani haya dhana ya "uchumba" huijui. Huyo mchumba ako kajulikana na nani kwenu? Kafuata sheria zipi hadi nyie kuitwa wachumba? Au mmeokotana tu na leo keshakuwa mchumba? Kuna watu ni ma.----- kweli.
 
Last edited by a moderator:
Kuwajua Nurses

hawa watu bhana wapo kwaajili ya kutoa huduma ya kimwili kwa wagonjwa.
Jinsi anavyokuwa na huruma kwa mgonjwa wake ndivyo hvyo anavyokuwa na huruma kwa mwanaume anayemtaka.

Japo sio wote lakin wengi mazingira yanawashawishi. Nurse hawezi kuchomoka kutoka kwa watu hawa.
. Doctor
. Wagonjwa wakwale
. Wanaouguza wagonjwa wao, hawa hutumia ule mwanya wa kumweka nurse karibu na mgonjwa wake na kumpa virushwa vidogo hapo nurse lazma atoe namba ya sim.

Sio kwamba naongea tetesi ila nina uhakika na ninachoongea. Nurse na baamed hakuna utofauti
 
... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
[h=3]Nimeshuhudia shem akisaliti[/h] Started by loyda, 6th July 2014 15:45
[h=3]Nifanyeje kuhusu ili?[/h] Started by loyda, 8th July 2014 18:37

[h=3]Hii ipoje wapendwa[/h] Started by loyda, 23rd July 2014 09:01

[h=3]Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika[/h] Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
[h=3]Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?[/h] Started by loyda, 15th October 2014 16:54
[h=3]Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu[/h] Started by loyda, 28th October 2014 13:06

duuu aiseeeeee
 
... loyda..ni shida...
ana visa. lukuki..
Nimeshuhudia shem akisaliti

Started by loyda, 6th July 2014 15:45
Nifanyeje kuhusu ili?

Started by loyda, 8th July 2014 18:37

Hii ipoje wapendwa

Started by loyda, 23rd July 2014 09:01

Nisaidieni wakuu hapa nimevurugika

Started by loyda, 23rd August 2014 14:35
Wadada wenzangu kama ni wewe unakutana na hali hii unaimalizaje?

Started by loyda, 15th October 2014 16:54
Sina raha baada ya ku-misplace Ipad niliyopewa zawadi na mpenzi wangu

Started by loyda, 28th October 2014 13:06
nani kama Tyta hapa JF ???? long live brother nimekupenda bure
 
Last edited by a moderator:
Umesema ni mzanzibari,sio?
Unajua kama wanapenda kazi ya kuzibua tundu la maji machafu?Tena bila groves.kila la heri mdada
 
Mpe papuchi huyo mjeda kwa mwezi mmoja tu, ndo utajua kama anakupenda au lah!

Kila siku tunasema kuwa, mwanamke akishaambiwa kuwa "nakupenda" tyr anaanza kuvuta hisia za kugegedwa!

Tupe ule mrejesho kwanza, ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...
 
Kila mtu unampenda ndani ya mwezi mmoja? mjeda--ndani ya mwezi, kibabu---ndani ya mwezi, na....
 
Kwanza sio lazima kila upumbavu wako uuweke hapa kila siku, JF sio yako hivo sio lazima upost!!

Anyway, mchumba ni mtu mliyechunguzana naye wakati wa u-mpenzi na mkaridhiana kuwa muingie steji ya maandalizi ya ndoa. Kutambulishana kwa ndugu jamaa na marafiki ndo wakati wake. Kufahamiaka kwa familia zenu na koo zenu ndo jadi yake.

Sasa unashangaza kama upo kwenye uchumba seriously then unaanza mawazo ya kudate na mvulana mwingine tena umeonana naye mwezi tuu yaani hamfahamiani, huo ni sawa na umalaya. Either unatutania au huna mapenz ya dhati mwambie jamaa ili ujipange kutafuta tena mchumba ili ukianza na huyo mjeshi usije kumpa jamaa maradhi au hata kumkosea bure!!

Ila kuwa makini naskiaga watu wa pande zile wanakula t*go.. Kwakweli utaharibikiwa hadi hiyo b*kra ya mwisho, utabaki kila mlango unapwaya.. Usije kulalamika wanaume wadanganyifu tena hapa coz umependwa hujapendeka..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom