Na story yake ya Sheikh Rogho ni nomaa.huyu jamaa ni noma.
alafu cha kushangaza habari zake za kufukua uovu zinahusu matukio mabaya yanayofanywa na hidara za serikali ya Kenya,serikali ambayo kukuua sio kazi ngumu.
Mwanahalisi ya Enzi za kina Absalome na kina fido dido
Kenya wako mbele sana. Ulishatazama the last door? Kile kipindi ukikifanya tanzanai watasema unaleta taharuki watakukamata. Jamaa anachunguza amuaji mengine yamefanywa na askari n.k.Aiseee umekosa uondo sana wa Mbunge Mohamed Ali KTN ,nilikuwa namfatilia sana Jaramandia la uhalifu ,Aiseee umenikumbusha mbali sana.
Anaisadia serikali ku reveal mambo mabaya wanayofanya baadhi ya vyombo vya serikali.huyu jamaa ni noma.
alafu cha kushangaza habari zake za kufukua uovu zinahusu matukio mabaya yanayofanywa na hidara za serikali ya Kenya,serikali ambayo kukuua sio kazi ngumu.
huyu kwanza anachunguza na kufatilia kwa kina alafu anakupa full detals kiasi mpaka unavutiwa kumsikiliza mpaka mwisho.Na story yake ya Sheikh Rogho ni nomaa.
Kenya wako mbele sana. Ulishatazama the last door? Kile kipindi ukikifanya tanzanai watasema unaleta taharuki watakukamata. Jamaa anachunguza amuaji mengine yamefanywa na askari n.k.