uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,265
- 9,394
Huyu jamaa mtangazaji wa Azam tv hasa katika habari na mijadala ya kidiplomasia yuko vizuri sana kiutangazaji
Nimeona nimpe maua yake akiwa hai jamaa anajua kuhoji kwa utulivu na kumpa nafasi muhojiwa kujieleza au kujibu pasi na uoga
Bila shaka atakuwa amesoma SAUT chuo Cha mwanahabari nguli Gentanyahu
Nimeona nimpe maua yake akiwa hai jamaa anajua kuhoji kwa utulivu na kumpa nafasi muhojiwa kujieleza au kujibu pasi na uoga
Bila shaka atakuwa amesoma SAUT chuo Cha mwanahabari nguli Gentanyahu