FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,213
Kama kichwa cha habari kinavyosema, katika pita pita yangu mtandaoni nimekumbana na hii video. Kwa mtazano wangu, huyu jamaa ana upeo, muono na mawazo mapana sana na ana kipaji cha kuzifikisha fikra zake kwa ufasaha na utulivu wa viwango vya juu kabisa. Ana uchungu na ujinga wetu Waafrika na anaufafanuwa vizuri sana. tafadhali msikilize mwenyewe upanuwe mawazo. Hili ni zaidi ya somo. 👇🏾
Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa google ya anachokisema👇🏾
(what's up family this is your man not your boy gold black to AfricaI did a video that did not actually go through
being that uh the reception is off but I'm back and I would like to really share with)
Nini habari familia, ni mtu wako si kijana wako, salaam kutoka kwa Dhahabu Nyeusi kwa Afrika.
Nilifanya video ambayo kwa kweli haikupanda kwenye mtandao, mtandao haukuwa vizuri ukazimwa lakini nimerudi tena na ningependa kushiriki na Ninyi nyote, mnisamehe, nafahammu wengi wenu huenda msipende jina la ujumbe wangu "Nakabiliana na Ujinga uliojazwa na ukoloni kwenye akili za (ki) Afrika". tunaposikia maneno kama" ujinga" tuelewe kuwa neno ujina siyo tusi bali ni neno ambalo watu wengi linaweza kuwatatiza na kuwashughulisha lakini tuchukulie kuwa ujinga sio kosa, ni sifa kwa sababu tunajuwa kuwa ujinga unamaanisha mtu ambaye hana ujuzi au ni mtu ambae hana ufahamu wa kitu fulani, na na pia ni kile kilicho juu ya uwezo wa mtu.
Wengi wa ndugu zangu wa Afrika hatuelewi kuwa ni ujinga kujifanya tunajuwa namna ya wenzetu wa kutoka nje na wageni wetu kutoka nje kuwa wanawaza na kufikiri kama sisi.
Kina kaka na akina dada ninaowaona hapa Afrika wana shida sana linapokuja suala la kukabiliana kibiashara na watu wa nje. Kutokuelewa mawazo ya kigeni ndio utaona Mwafrika anateseka anapokaa mezani na wale ambao anafanya nao biashana, hata haelewi mawazo ya biashara za kibepari na njia za kufanya nao biashara. jambo ambalo hupelekea kupoteza faida, kimsingi biashara ni faida.
Lakini hiyo sio haswa kile ninachozungumzia linapokuja suala la ujinga wa Afrika. Najuwa wewe unaona nalisema hili kiwepesi sana. Siyasemi haya kwa nia ya kumkosea mtu yeyote. Ni wazi, wakati mimi naanza kuangalia mienendo ya hapa hivi karibuni nikaona muono wa kikoloni.
Inaendelea post # 53
Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa google ya anachokisema👇🏾
(what's up family this is your man not your boy gold black to AfricaI did a video that did not actually go through
being that uh the reception is off but I'm back and I would like to really share with)
Nini habari familia, ni mtu wako si kijana wako, salaam kutoka kwa Dhahabu Nyeusi kwa Afrika.
Nilifanya video ambayo kwa kweli haikupanda kwenye mtandao, mtandao haukuwa vizuri ukazimwa lakini nimerudi tena na ningependa kushiriki na Ninyi nyote, mnisamehe, nafahammu wengi wenu huenda msipende jina la ujumbe wangu "Nakabiliana na Ujinga uliojazwa na ukoloni kwenye akili za (ki) Afrika". tunaposikia maneno kama" ujinga" tuelewe kuwa neno ujina siyo tusi bali ni neno ambalo watu wengi linaweza kuwatatiza na kuwashughulisha lakini tuchukulie kuwa ujinga sio kosa, ni sifa kwa sababu tunajuwa kuwa ujinga unamaanisha mtu ambaye hana ujuzi au ni mtu ambae hana ufahamu wa kitu fulani, na na pia ni kile kilicho juu ya uwezo wa mtu.
Wengi wa ndugu zangu wa Afrika hatuelewi kuwa ni ujinga kujifanya tunajuwa namna ya wenzetu wa kutoka nje na wageni wetu kutoka nje kuwa wanawaza na kufikiri kama sisi.
Kina kaka na akina dada ninaowaona hapa Afrika wana shida sana linapokuja suala la kukabiliana kibiashara na watu wa nje. Kutokuelewa mawazo ya kigeni ndio utaona Mwafrika anateseka anapokaa mezani na wale ambao anafanya nao biashana, hata haelewi mawazo ya biashara za kibepari na njia za kufanya nao biashara. jambo ambalo hupelekea kupoteza faida, kimsingi biashara ni faida.
Lakini hiyo sio haswa kile ninachozungumzia linapokuja suala la ujinga wa Afrika. Najuwa wewe unaona nalisema hili kiwepesi sana. Siyasemi haya kwa nia ya kumkosea mtu yeyote. Ni wazi, wakati mimi naanza kuangalia mienendo ya hapa hivi karibuni nikaona muono wa kikoloni.
Inaendelea post # 53