Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Kwani kuolewa kwa wadada wa kikristo siyo deal? Hebu wacha uongo kidogo..Ila dada zetu wa Kiislam ndoa,kuolewa ni big deal sana,
Mketema,Dada yake Mond,Yule dada wa Ng'arin'gari,shilole,
Yaani hapa ndio uwepo wake unapodhihirika jamani binamuu yaani tungechambuliwa humu kila kitu mpk ile wanasema bwana Kharoos ana mke na watoto wanneDah!!
Celebrities Forum kazi tunayo.
Na alisema ila
" Warumi nipo mmoja tu kenge nyie, mxxxxiew"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapa tungeshakuwa na mpk number za viatu za Bwn Kharooos.
Weeeeh, angeenda mpk shuleni kwao ili tu ajue huwa wanafaulu au la.Yaani hapa ndio uwepo wake unapodhihirika jamani binamuu yaani tungechambuliwa humu kila kitu mpk ile wanasema bwana Kharoos ana mke na watoto wanne
Nakumbuka ule msiba 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 jamani binamu nitammiss sana hamna wa kuziba hili pengo jamaniWeeeeh, angeenda mpk shuleni kwao ili tu ajue huwa wanafaulu au la.
Aje atusuuze hapa kuwa anamjua Bwn Kharoos.
Ajhahahhahahhah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna siku alienda kulala msibani kwa watu ili tu aje utuchambe tulimbishia nini sijui.
Warumi jamaaaaani🤲🙏
Hayupo kwa kweli.Nakumbuka ule msiba 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 jamani binamu nitammiss sana hamna wa kuziba hili pengo jamani
hakika kwa kweliHayupo kwa kweli.
Dah.
Imekula kwetu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, kweli uache kitanda chako ukalale msibani ili upate umbea aje ahishane vizur kwa details.
Nyingine alienda kwa Wema, sijui ahahahahhahahhahahahhahahahahhahaha daaaaaah!
Mungu Ampe kauli thabit binamu.
Alijua kutupa vicheko na burudani kwa hakika.
😀😀Tuma salamu kwa watu watatu.
RIP warumi..mana ndo mtu pekee ambaye angeweza leta huu uzi vizuri na akatumia code zake kumtaja mhusika..pengo lake halitazbikaBi dada kaolewa kimya kimya.... na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu.
Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born?
But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu
😂😂😂 Angempata wake mpenda flat screenSalma mwenyewe flat screen kaona bora aolewe mke wa pili maana angezebaa kutafuta wa kwake peke yake angechina na flat screen yake
Kupenda flat screen inahitaji moyo sana kwa dunia ya sasa😂😂😂 Angempata wake mpenda flat screen
Sheikh kipozeo anakuambia "labda itokee tu, ila mimi napenda mizigo"😁Kupenda flat screen inahitaji moyo sana kwa dunia ya sasa
😂😂😂mizigo ina raha yake aisee, unapata mtoto anamzigo alafu unaupiga doggy style mzigo wote amekususia asalaleeSheikh kipozeo anakuambia "labda itokee tu, ila mimi napenda mizigo"😁
Zigo ndio mpango mzima,halina mechi za vita mpka usikie njaaSheikh kipozeo anakuambia "labda itokee tu, ila mimi napenda mizigo"
MmhBi dada kaolewa kimya kimya na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu.
Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born? But bi mkubwa ana moyo, ina maana muda wote mume alikua anacheat mpaka wakazaa watoto wawili na sasa kaamua kuoa. Wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu
View attachment 1926144